peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hii picha ina watu wanne ni akina nani na kwà sasa wako wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo namba no,2Aisee
Nadhani ndo lengo mahsusi la hii thread kwa sisi mabingwa wa kufikiria nje ya boksi...Hiyo picha ya pili. Hivi wote hao wanaweza kuwa R.I.P before 2025.
Unaachaje kufa unatolewa ikulu unaenda kanda maalum kuwa sijui msaidizi wa nani, kwa hali ya kawaida utachomoka tu hakuna namna maana sio kawaida
... tena high-rank official maana hiyo position aliyosimama sio ya kitoto.
DuhKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
DuhKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
... kati ya picha ambazo zimewaacha mataga vinywa wazi ni ya post hii; ule ujinga wa sijui ni photoshop, sijui nini hakuna aliyethubutu "kuharisha" kwenye hii thread. Wote kimya kama vile somo linataka kuwaingia! Teknolojia aka sayansi hatari sana.Nadhani ndo lengo mahsusi la hii thread kwa sisi mabingwa wa kufikiria nje ya boksi...
... kwenye hii hafla mzee wa ule mhimili usiojikita sana alikosekana kweli kuwachamba wapinzani?TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.
View attachment 1723529
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake
View attachment 1723614
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
Mataga wameshapoteana we hushangai ntu kama Waziri au IGP hajui Rais wa nchi yuko wapi..si uzwazwa huo.... kati ya picha ambazo zimewaacha mataga vinywa wazi ni ya post hii; ule ujinga wa sijui ni photoshop, sijui nini hakuna aliyethubutu "kuharisha" kwenye hii thread. Wote kimya kama vile somo linataka kuwaingia! Teknolojia aka sayansi hatari sana.
You are very right..MTU anaweza akakosa picha yako ya pekee akaamua apereke ambayo uko featured na sangoma akajisahau.... hii kitu ya "kupiga picha ya pamoja" ni ya kuogopa kama ukoma!
We huoni mshkaji katuma picha za wote wamefariki except only one; shida hiyo dudus... kwani hiyo ina tatizo gani?