TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Hana mtoto mwenye jina hiloNimesoma mwanae kibasila Winnie majuva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mtoto mwenye jina hiloNimesoma mwanae kibasila Winnie majuva
Acha masikhara mzeeHana mtoto huyo
Kama walishiriki kuunajisi uchaguzi wetu, basi moto wa milele na uwaangazie na motoni iwe ndio makazi yao aamin.Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Bado 1 hapoTANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.
View attachment 1723529
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake
View attachment 1723614
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
Samia Suluhu aunde serikali ya umoja wa kitaifa, vinginevyo hali hii itazidi kuwa mbaya sana, mioyo ya watu wengi inavuja damu.
[/QUOTAna watoto wake lakini sio huyo aliyetajwa hapo juuAcha masikhara mzee
Hii picha ya mwisho imebeba picha nzito sanaTANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.
View attachment 1723529
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake
View attachment 1723614
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
Aisee nimeuangalia nikashangaa sana aiseeUzi wa Mshana unafanya kazi hapa, pole kwa wafiwa
Kuna uzi wa mshana unasema picha huzungumzaKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
RIP to allTANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.
View attachment 1723529
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake
View attachment 1723614
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
DuhKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Nahisi pole pole anaweza kuwa mwenyekiti kwa mdadudus
mataga waongee nini,mkuu!
sipati picha huyo aliebaki kwenye picha naye akipitiliza,sijui polepole ataishije hapa mjini!
Wrote wanne sasa wamekufaKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.