TANZIA Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Mkoa wa Mara, Jeswald Majuva afariki dunia

TANZIA Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Mkoa wa Mara, Jeswald Majuva afariki dunia

Kwa ujumla ni demotion
Mfano mdogo tu, alie kuwa mpambe wa Rais Kikwete wakati ule, Rais alimteuwa (kumpandisha) kuwa Brigedia; na hivyo ilibidi aache nafasi ya upambe. Na akateuliwa mwingine. Unataka kusema ilikuwa demotion? Kisa alikuwa anashinda ikulu na yupo karibu na Rais mida yote.

Make ukisema kuwa Ikulu ni cheo basi huyu ndo anashinda Ikulu na kugalagala Ikulu. Na anajua kona zote za Ikulu.
Utumishi una ngazi za utumishi na vyeo, haufuati kuwa mahala fulani ndo cheo!

Waswahili usema hasiye jua maana ahambiwi maana. Jambo usilo lijua ni sawa na usiku wa giza. Asiye penda elimika hata elimika kamwe. Na siri ya mtungi aijuae kata! Ubarikiwe.
 
Nimefanya kazi Serekalini miaka ya kutosha maelezo yako mengi lakini hayana mantiki.Cheo alichokuwa nacho ni sawa na RAO zamani yaani Regional Administrative Officer akipandishwa hapo anapelekwa wizarani kuwa DAP.
 
TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.

View attachment 1723529
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake

View attachment 1723614
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
Mshana Jr kuna wakati alielezea kuhusu picha na uhusiano wa kiroho.. Hiyo picha ya watu wanne dah
 
Nawakumbusha tu..... Jamaa bado hajatoa pole huko twirra.

Subirini tu. Muda ni mwalimu
 
Ha ha ha! Wewe wasema. Sijaongea hayo yote nimeongelea nafasi aliyopewa marehemu. Na hii ndo ilikuwa mada husika. Nadhani hujui muundo wa Utumishi serikalini. Kuna muundo wa kiutumishi serikalini. Ambao mtu kama hujui utaishia kuwa mbishi tu.
kuhusu muundo wa utumishi inahitaji muda kuelezea na kufafanua ili uweze fahamu. Kwa kifupi. Katibu Tawala Mkoa ni ngazi ya juu ya kiutumishi. Huyu ndo msaidizi na mshauri wa karibu wa RC. Na ndiye mwenye dhamana ya watumishi wote wa serikali katika mkoa. Hata wakurungezi wa idara na vitengo vyote anauwezo wa kutoa maelekezo itapobidi.
DCI, huyu ni mkurungenzi wa makosa ya jinai. Anashughulika na makosa yote ya jinai hawezi toa maelekezo ya kiutendaji kwa watumishi wengine wa umma. Yeye kitengo chake ni huko katika mashitaka na mambo yote ya jinai basi.

RAS ambae ni Katibu Tawala katika mkoa wake anapokea taarifa zote za utekelezaji katika mkoa kutoka idara zote za serikali. Ikiwepo Polisi, TRA, Halmashauri, Hospitali za Mkoa, na taasisi zinginezo. RAS kwa muundo wa sasa ndiye Katibu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.
Yeye ndo mwandaaji wa Taarifa inayokwenda Ikulu kwenye kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Taifa.

Huyu anaweza toa maelekezo ya kiutendaji kwa wakuu wa idara au taasisi za serikali zilizopo katika mkoa, inapobidi na maelekezo yakazingatiwa. Pia RAS ndiye mpitishaji wa bajeti ya mkoa na halmashauri zote katika mkoa baada ya kupitisha bajeti zao upeleka kwa RAS ili aweke sahihi na Mkuu wa Mkoa. Pia RAS anaweza toa maoni iwapo ataona inafaa katika bajeti hizo. Na ndiye upigia bajeti zote za mkoa chapuo ili ziweze kukubalika wakati wa mjadala wa bajeti na Kamishina wa bajeti kabla wizara haijawasilisha Bungeni.

Hivi unajua watumishi toka Ikulu, wakienda katika majukumu ya wazi kiutendaji, si yakificho wana ripoti kwa nani? Hasa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa inapohusishwa katika majukumu hayo. Nimekuwa nikiona watu wanadharau sana nafasi ya Katibu Tawala Mkoa. Nadhani ni kutokujua miundo ya Kiutumishi. Ni nafasi kubwa na nyeti sana kiutendaji. Na huyu kwa lugha nyingine ni Mwajiri, na msimamizi mkuu wa watumishi wote katika Mkoa.
 
Nimefanya kazi Serekalini miaka ya kutosha maelezo yako mengi lakini hayana mantiki.Cheo alichokuwa nacho ni sawa na RAO zamani yaani Regional Administrative Officer akipandishwa hapo anapelekwa wizarani kuwa DAP.
Ha ha ha! kufanya kazi serikalini si hoja, hoja ni kujua miuundo ya utumishi. Inaonesha unachukulia miundo ya kizamani. Mambo uenda yakibadilika. Huyo RAO, kwa taarifa yako yuko chini ya Katibu Tawala Msaidizi Raslimali watu ambae ni ASS1. RAO alikuwa ni Afisa Tawala Mkuu au Mwandamizi. Ambaye kwa sasa ni Msaidizi wa Karibu wa ASS1. Huyu akipanda anakuwa ASS1. Au Vyeo wizarani na mkoani vinaweza kwenda kwa pamoja kwani vyote vipo katika utumishi.
Mfano Afisa Tawala anaweza kuhamishiwa Wizarani toka mkoani kwa nafasi yake hiyo hiyo. Si lazima apande. Na wa wizarani vilevile. Pia Afisa Tawala Wizarani anaweza kupandishwa kuwa ASS1 mkoani.
Hongera kwa kustaafu make naona bado unaenda na muundo wa zamani. Nakumbuka mabadiliko ya mwisho ya kimuundo na maelezo ya majukumu, Mwaka 2011 kuna marekebisho ya nafasi za utumishi wa umma yalifanyika, hasa "job description" na kuongeza nafasi za kiutumishi. Mfano Mganga Mkuu wa Mkoa hapo nyuma hakuwa ASS yaani katibu Tawala msaidizi, lakini ilipitishwa awe Katibu Tawala Msaidizi. Na hii ilitengua nafasi ya aliekuwa Katibu Tawala huduma za jamii, hawa waliondolewa na kupelekwa Halmashauri. Rais jakaya Kikwete ndo aliweka sahihi ya mabadiliko hayo.
Ni mambo mengi yalibadilishwa. Si watumishi wote wa serikali walio husika katika hili. Hivyo si wote walijua sababu za mabadiliko kadhaa. Ila tu kwa kifupi. Nilikuwa jikoni na nilihusika. Najua utumishi wa Umma na muundo wake.
Ubarikiwe,
 
Nimefanya kazi Serekalini miaka ya kutosha maelezo yako mengi lakini hayana mantiki.Cheo alichokuwa nacho ni sawa na RAO zamani yaani Regional Administrative Officer akipandishwa hapo anapelekwa wizarani kuwa DAP.
Swala si kufanya kazi miaka mingi serikalini. Hoja ni kuelewa miundo na vyeo vya utumishi wa Umma, na protokali katika maswala ya kiutawala. Na hii si wote walio watumishi wa umma ati wanajua miundo yote ya kiutumishi. Nafasi au vyeo ulivyoongelea vilifanyiwa mabadiliko. RAO kabaki kuwa Afisa Tawala Mkuu au Mwandamizi, na nimsaidizi wa karibu wa Katibu Tawala Masaidizi (ASS1).
Kiufupi kuna mabadiliko kadhaa yamekuwa yakifanyika katika Utumishi wa Umma, Mfano zamani Mganga Mkuu wa Mkoa hakuwa katibu Tawala Msaidizi lakini toka Mwaka 2011, walipandishwa na kuwa ma ASS. Waliokuwa Ma ASS wakishughulika na huduma za jamii walipelekwa halmashauri na kupangiwa majukumu mengine. Pia ziliongezwa nafasi kadhaa na kuweka majukumu ya msingi ya kazi. Haya mabadiliko yalipitishwa na Mheshimiwa Rais Kikwete wakati huo.
Pole kupitwa na mengi. Mambo ubadilika. Hongera pia kuwa mtumishi wa Umma. katika kikao cha haya mabadiliko mie nilikuwa kibarua wa kuandaa chai na kufanya usafi wa eneo husika; wakati hawa waheshimiwa wakubwa wakifanya vikao vyao.
 
TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.

View attachment 1723529
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake

View attachment 1723614
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
Katibu tawala mara apo alikuwa anafanya kitu gani?
 
TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.

View attachment 1723529
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake

View attachment 1723614
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
Kwenye hiyo picha ya wanne watatu wamefariki. Chanzo cha kifo ni binafsi. Tuendelee kuchukua tahadhari. Hili gonjwa ni hatari halitaki ubishi na ujuaji.
 
Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Isipokuwa JPM.
Mark this
 
Na pia itawezekana alikuwa na kazi maalum. Mshahara na stahiki zake ziko pale pale. Mtu wa system popote ni station ya kazi. Ukimaliza kazi ghafla unaondoka tena wengine wanapotea. Kuna mmoja ukitumwa taasisi fulani akamaliza kazi yake. Akaondoka na line za simu zote zikazimwa. Mission accomplished [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom