Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... hoja yangu ni kwamba una uwezo wa kukaa humo mapafuni kwa muda gani kabla mhusika "hajakata moto"?mzigo ukiingia mapafuni kibongobongo hautoki.
MhmmKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Naam itafika wakati wote ambao tumecomment huu Uzi tutakuwa tume-expire. Kila kinachozaliwa lazima kife (law of nature)Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
... kwani hiyo ina tatizo gani?Na huyu jamaa alikosa kabisa picha nyingine zaidi ya hi?
Mshana Jr, unaitwa huku kutoa tafasiri ya kiroho ya picha kwenye post #1.Aisee! kuna uzi upo humu wa Mshana Click here Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho
... hii kitu ya "kupiga picha ya pamoja" ni ya kuogopa kama ukoma!Uzi wa Mshana unafanya kazi hapa, pole kwa wafiwa
The late Dr. Mahiga.Huyo anayekula kiapo ni Nani?
... tena high-rank official maana hiyo position aliyosimama sio ya kitoto.Kuwepo kwenye picha ya pili,inaonyesha alikua mtu wa system.
Ngoja taharuki ipite... Mshana Jr, unaitwa huku kutoa tafasiri ya kiroho ya picha kwenye post #1.
Cc: AKILI TATU, maeleo yale (kwenye hiyo link) leo yametimia machoni petu. Na wewe ulikuwa mtu wa kwanza ku-post kwenye huo uzi; unadhani ilikuwa bahati mbaya? "Ulimwengu wa kiroho"!
Tehe tehe. Bashwahili nti bantu!Hiyo picha ya pili. Hivi wote hao wanaweza kuwa R.I.P before 2025.