TANZIA Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Mkoa wa Mara, Jeswald Majuva afariki dunia

TANZIA Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Mkoa wa Mara, Jeswald Majuva afariki dunia

Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Naam itafika wakati wote ambao tumecomment huu Uzi tutakuwa tume-expire. Kila kinachozaliwa lazima kife (law of nature)
 
Kuwepo kwenye picha ya pili, inaonyesha alikua mtu wa system.
 
Back
Top Bottom