Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
AiseeKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Unamaanisha nini? Wamewakolimba auKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Na huyu jamaa alikosa kabisa picha nyingine zaidi ya hi?Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
ππΊππΊπ€Έπ½ββοΈπ€ΈπΎββοΈπ€Έπ½ββοΈπ€ΈπΎββοΈπ€Έπ½ββοΈπ€ΈπΎββοΈπ€Έπ½ββοΈπ€ΈπΎββοΈKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Mzigo ukiingia mapafuni kibongobongo hautoki.Duh! Ina maana hili likirusi la Korona linakaa mwilini muda mrefu hivyo kwa maelezo ya hiyo picha? Mbona hatari!