TANZIA Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Mkoa wa Mara, Jeswald Majuva afariki dunia

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.


Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake


PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye majukumu ya kikazi enzi za uhai wake
 
RIP🌞🌞🌞🌞
 
Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
πŸ’ƒπŸ•ΊπŸ’ƒπŸ•ΊπŸ€ΈπŸ½β€β™€οΈπŸ€ΈπŸΎβ€β™‚οΈπŸ€ΈπŸ½β€β™€οΈπŸ€ΈπŸΎβ€β™‚οΈπŸ€ΈπŸ½β€β™€οΈπŸ€ΈπŸΎβ€β™‚οΈπŸ€ΈπŸ½β€β™€οΈπŸ€ΈπŸΎβ€β™‚οΈ
 
Duh! Ina maana hili likirusi la Korona linakaa mwilini muda mrefu hivyo kwa maelezo ya hiyo picha? Mbona hatari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…