Katibu Tawala wa Wilaya aingilia kati sakata la Bandari, amuonya Wakili Boniface Mwabukusi

Katibu Tawala wa Wilaya aingilia kati sakata la Bandari, amuonya Wakili Boniface Mwabukusi

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake

20230709_175418.jpg
 
To be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Wewe ni wakili na hujui kwamba Binadam wanaathirika na hulka, tamaduni na mazingira walimokulia... unadhani kila mtu ni soft spoken?

Kavunja haki ya nani?
 
To be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Wakili usiyejua hata namna ya kuandika!! Wakili usiyejua kuwa when you put garbage in, then you have to expect garbageout!
Wakili usiyejua maana ya haki.
 
Back
Top Bottom