Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajifunze kwanza kuandika sentensi kwa Kiswahili kilichonyooka ndipo aje atoe maoni yakeKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Lofa mchumia tumbo.Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Akili ndogo kama NyumbuKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Huyu mwamba uchawa ndo umempa UDAS kwahio lazima auendelezeKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Duh, alipataje hii kazi?Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Huo umoja wa kitaifa uliovunjwa ni upi?😆Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Wewe ni wakili na hujui kwamba Binadam wanaathirika na hulka, tamaduni na mazingira walimokulia... unadhani kila mtu ni soft spoken?To be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Wakili usiyejua hata namna ya kuandika!! Wakili usiyejua kuwa when you put garbage in, then you have to expect garbageout!To be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Hawa jamaa wanakera sana, ifike mahali watu waheshimiane hata kenya walianza kuheshimiana 2007 hii ya kusema tz kisiwa cha aman kinatupeleka hukumazombi ya ccm
We mtu kafeli fomu foo utaongea naye nn?🤣Ajifunze kwanza kuandika sentensi kwa Kiswahili kilichonyooka ndipo aje atoe maoni yake
To be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Umeuliza swali la msingi sana.Huo umoja wa kitaifa uliovunjwa ni upi?😆
Angalau yeye katoa maoni yake hadharani, wewe unamkosoa humu upo na I'd yako feki, kati yako na yeye ni yupi wa kuaminika?To be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Jamani mbona hajui kuandikaKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894