Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaha swali gumu sana kwa huyo wakili msomi.Angalau yeye katoa maoni yake hadharani, wewe unamkosoa humu upo na I'd yako feki, kati yako na yeye ni yupi wa kuaminika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha swali gumu sana kwa huyo wakili msomi.Angalau yeye katoa maoni yake hadharani, wewe unamkosoa humu upo na I'd yako feki, kati yako na yeye ni yupi wa kuaminika?
Kila mtu anashangaa huo Ukatibu wa Wilaya anaufanyaje( Katibu ni mtu wa madocuments sana )Jamani mbona hajui kuandika
Huyu mwamba namjua sana hata GPA zake nizakuunga unga sana amshukuru simbachawene na MaguKila mtu anashangaa huo Ukatibu wa Wilaya anaufanyaje( Katibu ni mtu wa madocuments sana )
Hawa ndio wanaotumwa kusoma mikataba ya kitaifa😆Huyu mwamba namjua sana hata GPA zake nizakuunga unga sana amshukuru simbachawene na Magu
Huyo Japharu Kubecha ni mjnga mwingine.Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
AC ROMADuh, alipataje hii kazi?
TLC ni kitu gani?
Mkiambiwa kuna viongozi hawana akili mnasema ni matusi.
Huyu mpumbavu ameandika hayo kama nani na anamvulia uchi wake nani hadi awe na upumbavu kama huoKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Huyu fala na kichwani cholo eti TLC ni zuzu kweliKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894
Wewe utakuwa legal officer , sio Wakili. Jitokeze umkosoe waziwazi tupime hoja zenuHuyu katibu tawala mwenyewe hajui kuandika halafu amkosoe huyo jamaa ataweza kweli.
Mimi nikiona mtu anatetea huo mkataba natamani hata nimpige makofi siyo tu kuongea kwa jazba na hiyo haiingiliani na kazi yangu ya uderevaTo be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Kuongea kwajaziba nikutolinda haki za opponent ,kama ndivo nenda kamshitaki basiTo be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Huyu naye atawajibika ikiwa Wakili Mwakubukusi atadhurika kama alivyosema Baba Askofu Mwamakula kwenye press ya jana.Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha amejitosa kwenye sakata la Bandari na kumuonya Wakili Mwabukusi na kuomba ashughulikiwe hili hapa andiko lake
View attachment 2684894