Katibu Tawala wa Wilaya aingilia kati sakata la Bandari, amuonya Wakili Boniface Mwabukusi

To be fair, huyo wakili Boniphace anaongea kwa jazba sana. Mimi ni wakili. Siweziongea hivyo. Jenga hoja huku ukiheshimu na kulinda haki za mpinzani wako.
Yule amesema anaongea lugha ambayo watawala wataielewa,tusijifanye kama hatujui watawala wanaongea lugha gani,wao wanapoteka watu badala ya kutumia mfumo rasmi wa kisheria wanategemea watu wawachekee tu?acha awafundishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…