Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
SwadaktaCCM sidhani kama wana ujasiri ! wale wabeba mabegi na waratibu 2020 hawakupewa fungu! haramu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SwadaktaCCM sidhani kama wana ujasiri ! wale wabeba mabegi na waratibu 2020 hawakupewa fungu! haramu?
Na Mpenzi pia wa Mashimo ya Kibaiolojja ambayo Binadamu wote tumepenyea hadi kuja duniani hivi.Nilijua .Maana dogo anapenda sana pesa
😂
Mie sipendi pesa kabisa kwahiyo hayanihusuNilijua .Maana dogo anapenda sana pesa
Ngumu kumeza maana meya huchaguliwa na madiwani tuView attachment 1700064
Anatuhumiwa kushiriki rushwa wakati wa mchakato wa kumpata Meya wa Manispaa hiyo
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa CCM Mh Magufuli akiwa ziarani Mkoani humo
View attachment 1700230
Mkuu sheria ya mlarushwa ni kukamata tupa ndani na kupeleka mahakamani.Mbona mkuu mnalindana.Mkuu wa takukuru wa Mkoa.hakujua hili au na yeye alishiriki.mpaka Rais amlipue jukwaani.Hii ni sawa na raisi kufanya kazi ya balozi wa nyumba 10.Rungu lianzie kwa Takukuru kama hili ni kweli na si majungu.Huku ni kulindana.Kama ni kweli acha vyombo husika vimshughulikie na kupata ukweli na ndipo hatua zichukuliwe.Alitajwa mwingine anaitwa Aika.Haya, kesho atatajwa Kakwaya.Maisha taratibu.
Takukuru wanatumika kisiasa, audio clips za Mnyeti akijaribu kununua madiwani waliuchuna kama hawajasikiaTAKUKURU wako likizo[emoji1]
Hailei vipi wakati aliyetoa rushwa anaachwa aendelee na umeya?Nilijua katika yote hili litakufurahisha sana bwashee!
CCM hailei wala rushwa.
Kabisa mkuu. Huyu dogo wangemsamehe maana hao watoa rushwa ambao ni meya wa sasa wangemuua maana meya wa sasa kuna tetesi alitoa mil mia nne na ikatokea dogo akasimamia ukweli meya wa sasa akashindwa, ndiyo kuna mtu wa karibu na mwenyekiti akamdanganya matokeo yake mtoa rushwa huyu akawa meya. Yaani CCM ni rushwa rushwa, ubunge kila mbunge katoa rushwa ndiyo maana kila mbunge anataka uwaziri arudishe hela yake.Mbona rushwa ni jadi kwa wanasiasa wa ccm hasa kipindi cha uchaguzi,maeneo mengi mameya wamepatikana baada ya kuonga madiwani,huyu shaka katumika kama mbuzi wa kafara,victim of circumstances
Tena kurudi kwa umeya huyu mtoa rushwa ndiyo salama ya dogo huyu katibu, maana wangemuua kutoa mil mia nne na ukose umeya. Pia kuna watu wa system watakuwa walikula rushwa kwa meya wakaandika uongo. So sad, hivi hii nchi tufanyeje iwe na waadilifu?????Hailei vipi wakati aliyetoa rushwa anaachwa aendelee na umeya?
Huyu huyu Shaka alokuwa kioongozi wa mbio za mwenge?View attachment 1700064
Anatuhumiwa kushiriki rushwa wakati wa mchakato wa kumpata Meya wa Manispaa hiyo
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa CCM Mh Magufuli akiwa ziarani Mkoani humo
View attachment 1700230
Bila kuiondoa ccm mtaendelea kulia tu .Tena kurudi kwa umeya huyu mtoa rushwa ndiyo salama ya dogo huyu katibu, maana wangemuua kutoa mil mia nne na ukose umeya. Pia kuna watu wa system watakuwa walikula rushwa kwa meya wakaandika uongo. So sad, hivi hii nchi tufanyeje iwe na waadilifu?????
Kijana anajifanya Anajua Siasa kumbe mila Rushwa mkubwa kweli CCM na RUSHWA ni UJI na MGONJWAView attachment 1700064
Anatuhumiwa kushiriki rushwa wakati wa mchakato wa kumpata Meya wa Manispaa hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa CCM Mh Magufuli akiwa ziarani Mkoani humo.
View attachment 1700230
This is JF where people dare to scrible their minds freelyAnapenda sana kwenda Mombasa
Kuna video imevuma maongezi ya mgao waliopokea kumpitisba meyaView attachment 1700064
Anatuhumiwa kushiriki rushwa wakati wa mchakato wa kumpata Meya wa Manispaa hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa CCM Mh Magufuli akiwa ziarani Mkoani humo.
View attachment 1700230
Tuwekee na sisi tufaidi uhondo
Mbona li chama lenu mwenyekiti aliiba bil 8, akatuma majambazi yakamuua msimamizi wa miradi fake, yaani upinzani ni mbaya zaidiBila kuiondoa ccm mtaendelea kulia tu .
haijaisha kwani bado huwa anaenda mwambasaAlipataga kashfa Fulani hivi ikaisha ju kwa juu