TANZIA Katibu wa ccm mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa afariki dunia leo tarehe 20 dec 2024

TANZIA Katibu wa ccm mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa afariki dunia leo tarehe 20 dec 2024

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa amefariki dunia leo Desemba 20, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam.

Kifo cha Sankwa kimethibitishwa na Rajab Abdulrhaman, mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho.



View: https://www.instagram.com/p/DDzEIrMNb7P/?igsh=MW0ybTlwOXE1ajUxZw==

Cardiovascular !
RIP sote ni wa njia moja !
Tutendeane mema sio kudhalilishana !!
Duniani tunapita tu Bandugu !
Poleni sana wafiwa Mungu awape subira na nguvu 🙏🙏
 
Uongo.mimi ninavyojua sisi Wana CCM is never to die.only other parts like chadema are die
 
Kilio cha kifo cha Mzee Ally Kibao wa Mkoa wa Tanga,kitaondoka na wengi wa upande wa kijani
 

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa amefariki dunia leo Desemba 20, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam.

Kifo cha Sankwa kimethibitishwa na Rajab Abdulrhaman, mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho.



View: https://www.instagram.com/p/DDzEIrMNb7P/?igsh=MW0ybTlwOXE1ajUxZw==

Inahuzunisha na ni msiba kwa familia.

Kwa walio wengi wanaona KARMA imeanza kuchapa
 
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa amefariki dunia leo Desemba 20, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam.

Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Gabriel Makalla CCM imetoa pole kwa familia ya marehemu, wanachama wa CCM, na wote walioguswa na msiba huo.

"Ndugu Sankwa atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha chama na kuleta maendeleo ya jamii. Kifo chake ni pigo kubwa kwa familia, CCM, na taifa kwa ujumla."
 
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa amefariki dunia leo Desemba 20, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam.

Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Gabriel Makalla CCM imetoa pole kwa familia ya marehemu, wanachama wa CCM, na wote walioguswa na msiba huo.

"Ndugu Sankwa atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha chama na kuleta maendeleo ya jamii. Kifo chake ni pigo kubwa kwa familia, CCM, na taifa kwa ujumla."
Poleni CCM na familia
 
Back
Top Bottom