TANZIA Katibu wa ccm mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa afariki dunia leo tarehe 20 dec 2024

TANZIA Katibu wa ccm mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa afariki dunia leo tarehe 20 dec 2024

Hivi Kuna marehemu aliyewahi kusemwa vibaya?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Chama cha Mapinduzi kinasikitika sana na kimepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa sana Kifo cha katibu wake Mkoa Wa Tanga aliyefariki Mchana wa Leo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.

Ni Majonzi,huzuni ,masikitiko na maumivu Makubwa sana kwa Chama na Familia.Marehemu atakumbukwa kwa uchapakazi wake na kujitoa kwake kwa jasho katika kukijenga chama.
Screenshot_20241220-224426_2.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Chama cha Mapinduzi kinasikitika sana na kimepokea kwa masikitiko na makubwa sana Kifo cha katibu wake Mkoa Wa Tanga aliyefariki Mchana wa Leo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.

Ni Majonzi,huzuni ,masikitiko na maumivu Makubwa sana kwa Chama na Familia.Marwhemi atakumbukwa kwa uchapakazi wake na kujitoa kwake kwa jasho katika kukijenga chama.View attachment 3181172
Kifo ni kifo tu mkuu..tupo busy na TL .kwaheri
 
Ndugu zangu Watanzania,

Chama cha Mapinduzi kinasikitika sana na kimepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa sana Kifo cha katibu wake Mkoa Wa Tanga aliyefariki Mchana wa Leo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.

Ni Majonzi,huzuni ,masikitiko na maumivu Makubwa sana kwa Chama na Familia.Marehemu atakumbukwa kwa uchapakazi wake na kujitoa kwake kwa jasho katika kukijenga chama.View attachment 3181172
Huyu amekufa kitambo na Uzi wake upo wewe Chawa hauna taarifa za watu wako?
 
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Seleman Sankwa amefariki dunia leo Desemba 20, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam.
Kifo cha Sankwa kimethibitishwa na Rajab Abdulrhaman, mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho.
Aende tutamkuta.
 
Back
Top Bottom