Katibu wa CWT adai ana Mkataba wa Ajira ya Kudumu katika Chama cha Walimu Tanzania

Huyo fala amechanganyikiwa, hicho kinachoitwa mkataba amejitengenezea mwenyewe. Kwanza hana akili hata ya kuazimwa, yaani sisimizi km hilo ni la kushindana na serikali? Hakuna rangi hataona
Mamamae zake maganga hivi hii CWT ni ya baba ake??Empesiree
 
Teuzi za ovyo za bi chaudele mtu wa kawaida mwenye akili timamu anapaswa kuzikataa bila kufanyiwa mizengwe yoyote! Serikali ya ovyo sana hii!
 
Yeye sio wa kwanza kupambania ulaji CWT na kafanikiwa. Ngoja tusubiri tuone.
 
Ili uweze kumshinda Maganga yakupasa kurejea kwenye Katiba ya CWT sio porojo kama zako! Kumshinda inabidi ulete Katiba au sheria aliyovunja ila inaonekana mnataka kumfanyia figisu ndiyo maana mnaangaika kupita mipenyoni ili mumuangushe tu
Mwenyewe anakiri alikuwa anaomba kibali kwa mwajiri wake ili kutumikia nafasi kwenye CWT.

Sasa mara ya mwisho amekataliwa kibali cha kuendelea kuitumikia CWT akaamrishwa arejee kazini kwake kama mwalimu ambayo ndiyo ajira yake ya kudumu aliyoajiriwa.

Huoni kukaidi kurejea kazini kwa maelekezo halali ya mwajiri wako ni kuvunja sheria za utumishi wa umma pamoja na sheria za kazi?
 
Huyo fala amechanganyikiwa, hicho kinachoitwa mkataba amejitengenezea mwenyewe. Kwanza hana akili hata ya kuazimwa, yaani sisimizi km hilo ni la kushindana na serikali? Hakuna rangi hataona
Mjibu kwa vifungu mkuu..matusi ya nini
 
Safi sana maganga go go go

Walete amshaamsha haoooo

Jamaa mbishi [emoji1]

Ova
 
Sasa yeye hayaji kurudi kufundisha, sisini Nani tumlazimishe akafundishe?
Ukiona anabisha kiasi like ujue anayo option nyingine.
Plan B muhimu.
Kwanza alisha ajiriwa Kama muhasibu huenda anayo taaluma hiyo ataenda taasisi binafsi.
Kama anayo taaluma anang'ang'ania nini CWT?
 
Huyo fala amechanganyikiwa, hicho kinachoitwa mkataba amejitengenezea mwenyewe. Kwanza hana akili hata ya kuazimwa, yaani sisimizi km hilo ni la kushindana na serikali? Hakuna rangi hataona
Vipi kwani! Mbona kama kachukua nafasi yako aise?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…