Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Mkuu kesho hatakuwa na matusi ,ametumwa kusawazisha mambo waonekane wema,nyundo ya EU imewapiga kichwaniNani anasikiliza wamwaga damu na wezi wa kura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kesho hatakuwa na matusi ,ametumwa kusawazisha mambo waonekane wema,nyundo ya EU imewapiga kichwaniNani anasikiliza wamwaga damu na wezi wa kura?
Hatuna hofuMtataja euro million 27 mahali imeenda.
Sio v8 aliuliza v80unaijua v8 weweeee?
Kituko kingine,alivyoambiwa ushindi uwe WA asilia 80 hata hakuhoji. SASA wanalo.Analijibu bunge la Ulaya 🤣🤣🤣🤣
Ni kilemaHivi jamaa ni kijana au mzee..mana haelewekagi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama nyie wapiga deal roho zinawauma watu wamejua mmeiba hela za covid,majizi haya ccm bila wizi na polisi ni kama toilet paperWanasaccos roho zinawauma hawana hata ofisi [emoji16][emoji23]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwezi kupoteza muda kusikiliza mtu mjinga kama huyuNow days hayupo serious, simsikilizagi. Nasubiri watakaohadithia.