TANZIA Katibu wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, ndugu Lugano Mwafongo afariki dunia

Namna mwanasiasa anavyoweza kukuondoa hofu

Atakwambia;

1. Huu si ugonjwa wa kutilia shaka, lakini jilinde usiupate, endelea na shughuli zako
2. Huyu hajafa na ugonjwa huu, bali homa tu, zake hata hivyo zilishafika, chapa kazi usife njaa
3. Dawa ya ugonjwa huu ipo, wenzetu wanaitumia, na imeonyesha mafanikio makubwa, nasi tumeagiza inakuja

Wakati akikwambia wewe hayo, yeye yupo karantini tuliiii.
 
Ngoja niingie twita kwanza,nitarudi ku comment
 
Pumzika kwa amani

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…