TANZIA Katibu wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, ndugu Lugano Mwafongo afariki dunia

TANZIA Katibu wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, ndugu Lugano Mwafongo afariki dunia

TUMIENI DAWA YA KUTOKA NIMR INASAIDIA SANA..TUACHE UBISHI TUJARIBU KUTAFUTA NA KUITUMIA..UZURI WAKE UNAWEZA KUITUMIA HATA KAMA HUUMWI KAMA KINGA.

Katibu wa Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro ndugu Lugano Mwafongo amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya rufaa ya KCMC mkoani Kilimanjaro alipokimbizwa kwa matibabu.

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!

 
Ingawa corona inaua kila mtu lakini imeanza vizuri hapa kwetu tz

Yaani inapiga mule mule
IMG_3065.JPG
 
Back
Top Bottom