Wametumiwa Samasi heheheeDuh, wabunge wa CDM endeleeni kuji karantine...huku mtaani moto wa COVID bado haujapoa..bado aisee!!
Ingawa corona inaua kila mtu lakini imeanza vizuri hapa kwetu tzSawa sawa wacha ile sebuleni huenda tukapata adabu
Ndio maana wenzao mjengoni wanaogopa kukaa peke yao. Unajua kukiwa na hali ya hatari unakuwa unataka muwe wengi mazingira hayo. Sasa CDM akili nyingi walishasoma mchezo.R.I.P. Itakuwa alibanwa kuhema.
Ingawa corona inaua kila mtu lakini imeanza vizuri hapa kwetu tz
Sio sisi tu hata nyie hamko salama.Pumzika kwa amani
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Mule mule![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] falsafa ya popobawa akikupitia lazima utangaze la sivyo anarudi tena
Ndio hiyo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa umetishaaa mkubwaPolepole wapi? Njoo tupambane,CHADEMA inamaliza watu,