reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
MmhhhhKitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmhhhhKitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
Not so fast. You ain't seen nothing yet. Brace yourself for what follows next.Cha muhimu mradi unaendelea kama kawaida.
Zile nguo ni very very specialHata Mimi nilihisi hivyo.
Pole sana, amekuzalisha watoto wangapi? Ripoti dawati la Jinsia lililo karibu nawe!Kitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
Naskia mama yako nae ni miongoniKitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
Wenyewe hawana midomo au ndiyo weweKitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
Ruto Kesha tufunulia au kutuibia Siri mwenye chakula ndio tajiri sio mafuta n.kHiyo story ya misikiti siyo hoja maana hatujui ukweli ila njombe anasema anataka kuwekeza ndio ajabu maana wao wamekuja for bandari hata hawajaanza wameshaanza kukagua mashamba njombe hapo kidogo wapunguze spidi
Mwenye akili ndiye tajiri mkubwaRuto Kesha tufunulia au kutuibia Siri mwenye chakula ndio tajiri sio mafuta n.k
Uelewa wako mdogo tu akili zile zile za kwenye meza za wauza kahawa.Maswala ya kifisadi unayaita ya "kiuchumi"?
Maswala ya kiuchumi ndiyo yanayoondoa heshima kwa kiongozi wa nchi kuwa mwongo bla ya aibu yoyote?
Inavyoonekana sasa ni wazi kuna nguvu kubwa pembeni nyuma ya swala hili. Hili siyo swala la Samia, yeye ni mateka tu.
WaTanzania watalishughulikia.
Akili za fisi za kusubiri mguu uanguke, unaweza ukaondoka duniani ukaicha CCM ipo ikulu.Not so fast. You ain't seen nothing yet. Brace yourself for what follows next.
Hapo ndipo utakapojua, hicho ndio "cha muhimu".
Fitina ya kusambaza waraka makanisani haina msaada wowote. Mungu ni wa wote siku zote.EEEeeeenHeeeeee!
Ni kama mtu aliyetekwa?
Sasa unaona ujambazi huu mnaolifanyia taifa letu?
Huyo padre chini ya Magufuli angletwa hapo huku bastola ikigusa mbavu zake, na hali yake ingekuwa hivyo hivyo, kama hiyo uliyomwona nayo chini ya Samia.
Hakuna tofauti yoyote zaidi ya njia tu zinazotumika.
Ni kosa kisheria kuweka wazi mikataba inayoongoza biashara, kuna kifungu kabisa cha sheria kinachohusu mikataba kuanikwa hadharani....Sheria inasemaje kuhusu Bunge kuiona na Kuijadili Mikataba..??
Ona sasa unako peleka akili yako mbovu.Fitina ya kusambaza waraka makanisani haina msaada wowote. Mungu ni wa wote siku zote.
Utapeli na ujambazi unakwenda kuongeza tija pale TPA unakwenda kuifungua nchi kwa mapana, Nyinyi wachache wenye akili za kijamaa imekula kwenu.Ona sasa unako peleka akili yako mbovu.
Mambo ya Mungu yametoka wapi hapa?
Unafanya utapeli na ujambazi halafu hapo hapo unakimbilia kuwa "Mungu ni wa wote"?
Sawa, acha tuwe fisi, hili halitabadili chochote.Akili za fisi za kusubiri mguu uanguke, unaweza ukaondoka duniani ukaicha CCM ipo ikulu.
Tanzania unayoiongea wewe ni hii ya JF, hii ya twitter.. Tanzania halisi yenye kufahamu ulimwengu wa kibiashara upo vipi na namna gani ya kukabiliana nao kwa sasa inao wafanyabiashara waliorahisishiwa upakuaji na upakiaji pale TPA.Sawa, acha tuwe fisi, hili halitabadili chochote.
Swala hapa siyo CCM tena, swala ni Samia na genge lake.
CCM hiyo hiyo unayotaka kuitumia humu, ndiyo itakayowamaliza wewe na genge lote, kama waTanzania hawatawawahi katika hilo.
Nikueleze tena, hapa hakuna swala la itikadi, si ujamaa wala ubepari. Unapeleka akili yako huko huku hata huna uwezo wa kuyafafanua hayo.Utapeli na ujambazi unakwenda kuongeza tija pale TPA unakwenda kuifungua nchi kwa mapana, Nyinyi wachache wenye akili za kijamaa imekula kwenu.
Maneno yaleyale uliyokariri toka mwanzo, unayarudia tu kama kasuku.Tanzania unayoiongea wewe ni hii ya JF, hii ya twitter.. Tanzania halisi yenye kufahamu ulimwengu wa kibiashara upo vipi na namna gani ya kukabiliana nao kwa sasa inao wafanyabiashara waliorahisishiwa upakuaji na upakiaji pale TPA.
Mimi nikiwa na uelewa mdogo, wewe hata ule wa kukupeleka msalani utakuwa huna, na picha yenyewe unaiona kichwani mwako ilivyo mbaya.Uelewa wako mdogo tu akili zile zile za kwenye meza za wauza kahawa.
Ujinga, Ujinga mzigoKitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.