yusuphfrancis
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 433
- 361
Acha uongo bingwa, mshahara wa mwalimu mwenye Degree haulingani hata kidogo na mshahara wa mtu mwenye diploma fani yoyote alieajiriwa kwenye baadhi ya mashirika kama TAWIRI, TPA, REA, TANAPA na kwingineko.Ni sahihi kwa maana ya rank, yaani Mfanyakazi mwingine kutoa madaktari na wanasheria. Mshahara wa kuanzia wa Mwal ni mkubwa.
Lakini swali linakuja mkubwa wa kukidhi mahitaji kulingana na hali ya maisha na mfumuko wa bei wa Mara kwa Mara? Jibu ni hapana
AiseeeRais alisema TRA wanachukua pesa nyingi,au katibu hakumwambia Rais kua waalimu ndiyo wana mishahara mikubwa na siyo TRA?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kiuhalisia ukichukua watumishi wa kada nyingi serikalini hasa serikali kuu wenye elimu inayofanana na walimu mfano wote degree utakuta walimu wanaanza na salary kubwa kuliko watumishi wengine.... 90% ya GDP ya Tanzania inachangiwa na 3% ya wenye kipato cha kati na matajiri. 97% ya wananchi mchango wao kwenye GDP ni 10%! Ndicho alichomaanisha huyo Mh. ama kwa kutokujua au kwa makusudi mazima - kama ilivyo ada dharau za CCM kwa wananchi baada ya chaguzi wakiwatimulia vumbi na ma-VX-V8 wanayonunuliwa kwa kodi za wanyonge.
Achana na walioko kwenye wakala na taasisi za serikali zinazojitegemea, hapa wanazungumzwa watumishi wa serikali kuu kwenye mawizara Hadi kwenye Halmashauri ambao ndio wengi.Acha uongo bingwa, mshahara wa mwalm mwenye Degree haulingani hata kidogo na mshahara wa mtu mwenye diploma fani yoyote alieajiriwa kwenye baadhi ya mashirika kama TAWIRI, TPA, REA, TANAPA na kwingineko,,
Hivyo, kama huna data ni busara kutokuchangia!
Ok, nimekupata mkuu, shukraniAchana na walioko kwenye wakala na taasisi za serikali zinazojitegemea,hapa wanazungumzwa watumishi wa serikali kuu kwenye mawizara Hadi kwenye Halmashauri ambao ndio wengi
Huko kwingine ulikotaja kuna watumishi wachache Sana na wako kwenye kazi maalumu
Kwani ni uongo...GDP ya bakhresa tu sio sawa na ya Shinyanga+Tabora??... 90% ya GDP ya Tanzania inachangiwa na 3% ya wenye kipato cha kati na matajiri. 97% ya wananchi mchango wao kwenye GDP ni 10%! Ndicho alichomaanisha huyo Mh. ama kwa kutokujua au kwa makusudi mazima - kama ilivyo ada dharau za CCM kwa wananchi baada ya chaguzi wakiwatimulia vumbi na ma-VX-V8 wanayonunuliwa kwa kodi za wanyonge.
Ila walimu ni walalamishi aisee utasema ndo waajiriwa tu nchi hii[emoji3]
Wambie wakafanye hizo kazi za milioni 15 hawawezi wapige chini kazi waka betAcha ujinga wako. Mshahara wa mwalimu unaujua? Walimu wangapi nchi hii wenye uwezo wa kutumia mshahara wao na kujiwekea akiba? Unapopata mshahara wa chini ya milioni moja unasema una mshahara mkubwa? Chini ya Dola 430!!! Wakati raisi juzi amesema watu wanalipwa zaidi ya milioni 15, sawa na dola zaidi ya 6500, kwa nini walimu wasilalamike?
Kazi ya ualimu ni ya kutukuka sana wangepaswa Kulipwa wala 2,300,000 kwa mwezi ambazo ni sawa na dolla 1000 tu, maisha yao yangabadilika
Wambie wakafanye hizo kazi za milioni 15 hawawezi wapige chini kazi waka bet
Kama maslahi hayawatoshi kutwa wanalia na kugoma pia hawawezi si upuuzi? Chagueni moja muache kulia kila siku mchape kazi au muache kazi..Fikiria kabla ya kuandika, wakipiga chini ukoo wako utaingia madarasani?? Siku walimu wataamua kugoma ndiyo mtaujua umuhimu wao!!
Haahaa kwa wema walioufanya walimu mwaka huu kwa jpm hawakupaswa kudhalilishwa hiviKama maslahi hayawatoshi kutwa wanalia na kugoma pia hawawezi si upuuzi? Chagueni moja muache kulia kila siku mchape kazi au muache kazi..
Mkuu Kama hujui Mambo kaa kimya...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kiuhalisia ukichukua watumishi wa kada nyingi serikalini hasa serikali kuu wenye elimu inayofanana na walimu mfano wote degree utakuta walimu wanaanza na salary kubwa kuliko watumishi wengine.
Tofauti inakuja kwenye marupurupu na mazingira ya kufanyia kazi
Afisa yupo sawa. Huo ndo ukweli ukiajiriwa leo na degree, mwalimu mwenye degree atakuzidi mshahara. Shida ya mwalimu wengi hawana posho zaidi ya mshahara tu.Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu amesema walimu ndio kada ya watumishi wa umma wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko kada nyingine yoyote....
Kama maslahi hayawatoshi kutwa wanalia na kugoma pia hawawezi si upuuzi? Chagueni moja muache kulia kila siku mchape kazi au muache kazi..
Wema upi?Haahaa kwa wema walioufanya walimu mwaka huu kwa jpm hawakupaswa kudhalilishwa hivi