BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hiki ndio nachokijua pia na ndio huyo jamaa alichokimaanisha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kiuhalisia ukichukua watumishi wa kada nyingi serikalini hasa serikali kuu wenye elimu inayofanana na walimu mfano wote degree utakuta walimu wanaanza na salary kubwa kuliko watumishi wengine.
Tofauti inakuja kwenye marupurupu na mazingira ya kufanyia kazi
Piga siasa jukwaa ni lakoWenye busara Mara nyingi hujadiliana kuondoa changamoto. Aside na busara anadhani akifukuza ataajiri wengine. Kazi ya ualimu inasadikika ati kila mtu anaiweza, lakini huo ni uongo. Inamchukua mwalimu muda mrefu kumfanya nguli. Tatizo sio kuacha kazi, bali ni ku reason na watawala waone umuhimu we kuwaongezea mshahara walimu. Ujerumani ndiyo nchi pekee inayowalipa walimu mshahara wa kutosha na sababu ni rahisi. Walimu ndiyo wanaotengeneza skills za wafanyakazi wengine wote. Hata wewe unayewabeza ni product ya walimu wako
Piga siasa jukwaa ni lako
Mmmmm hii sio kweliUmeshindwa kupandisha hata kavideo?
Haya nimekusaidia hapo chini..ila ukimwangalia huyo jamaa suti aliyovaa inaeleza mengi namna alivyo na njaa.View attachment 1657882
Ngoja Nikae siti ya mbele kabisa"Katika watu wenye mishahara mizuri ni walimu, walimu ndio wanalipwa vizuri kuliko mtumishi yeyote wa serikali. Walimu wana mishahara mikubwa".
Hayo yamesemwa na MOSES CHITAMA ambaye ni katibu ofisi ya Rais tume ya utumishi wa walimu.
Chanzo cha habari: East africa tv plus+
Yaani huyu Katibu bure kabisa, sijui anamdanganya nani na kwa maslahi ya nani?"Katika watu wenye mishahara mizuri ni walimu, walimu ndio wanalipwa vizuri kuliko mtumishi yeyote wa serikali. Walimu wana mishahara mikubwa"...
Sio kweli Mkuu, mshahara wa Mwalimu mwenye Bachelor anayeanza kazi ni mdogo ukilinganisha na kada nyingine wanapoanza kazi.Afisa yupo sawa. Huo ndo ukweli ukiajiriwa leo na degree,mwalimu mwenye degree atakuzidi mshahara. Shida ya mwalimu wengi hawana posho posho zaidi ya mshahara tu.
Yaani huyu Katibu bure kabisa, sijui anamdanganya nani na kwa maslahi ya nani?
Hata kama hujui hesabu unajua kabisa kwamba TGS D anayoanza nayo Mwalimu mwenye bachelor ni ndogo kuliko TGS E anayoanza nayo Land Surveyor, au Engineer aliyeajiriwa na Halmashauri.
You can't fool all the people all the time. Poor him
Kwanini analaumiwa huyu jamaa mbona kasema ukweli? Anasema walimu wanalipwa mshahara mkubwa kuliko watumishi wengine wa level ile ile."Katika watu wenye mishahara mizuri ni walimu, walimu ndio wanalipwa vizuri kuliko mtumishi yeyote wa serikali. Walimu wana mishahara mikubwa".
Hayo yamesemwa na MOSES CHITAMA ambaye ni katibu ofisi ya Rais tume ya utumishi wa walimu...
Sawa na watumishi wa TCRA, tanroads,tcaa,TPA, tra,Hazina,latra, tasac Wasemeje.?? Sekta ya Afya bado. Kama ni kweli Baridi Chuo niwe Mwalimu"Katika watu wenye mishahara mizuri ni walimu, walimu ndio wanalipwa vizuri kuliko mtumishi yeyote wa serikali. Walimu wana mishahara mikubwa".
Hayo yamesemwa na MOSES CHITAMA ambaye ni katibu ofisi ya Rais tume ya utumishi wa walimu...
unataka kusema jamaa katuongopea?Haahaa ni uwongo uliopitiliza.Mshahara wa mwalimu wa degree ni mdogo Sana ukilinganisha na mshahara wa daktari mwenye degree.Huyu naibu ni jipu kubwa
nawe hujui kaa kimya MWANASHERIA MSHAHARA WAKE NI WAKAWAIDA TU HAWEZI MZIDI MHANDISI YEYOTE. HATA MHASIBU.Ni sahihi kwa maana ya rank, yaani Mfanyakazi mwingine kutoa madaktari na wanasheria. Mshahara wa kuanzia wa Mwal ni mkubwa.
Lakini swali linakuja mkubwa wa kukidhi mahitaji kulingana na hali ya maisha na mfumuko wa bei wa Mara kwa Mara? Jibu ni hapana
Unajua Mhandisi anaanza shilingi ngapi afu unajua maana ya serikali kuu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kiuhalisia ukichukua watumishi wa kada nyingi serikalini hasa serikali kuu wenye elimu inayofanana na walimu mfano wote degree utakuta walimu wanaanza na salary kubwa kuliko watumishi wengine.
Tofauti inakuja kwenye marupurupu na mazingira ya kufanyia kazi
IT mwenye degree hajazidiwa na Mwl.Achana na walioko kwenye wakala na taasisi za serikali zinazojitegemea, hapa wanazungumzwa watumishi wa serikali kuu kwenye mawizara Hadi kwenye Halmashauri ambao ndio wengi.
Huko kwingine ulikotaja kuna watumishi wachache sana na wako kwenye kazi maalumu
kabisaaaMkuu Kama hujui Mambo kaa kimya...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu amesema walimu ndio kada ya watumishi wa umma wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko kada nyingine yoyote.
Naibu Katibu Mkuu amesisitiza kuwa walimu wanalipwa mishahara mikubwa sana nchi hii kuliko kada nyingine zote.
Naibu waziri ameyasema hayo kwenye kipindi cha televisheni cha chanel ten.
========
MOSES CHITAMA: Tumekuwa tukipata waajiri ambao ni wakurugenzi kwa mujibu wa sheria ilivyo, mkurugenzi analeta mashtaka kwamba mwalimu huyu amebainika na makosa haya. Tunaanzisha taratibu za kumchukulia hatua za kinidhamu.
Mwalimu anapewa barua ya shtaka ajieleze ambae anaundiwa kamati za uchunguzi kuchunguza shauri lake, Je ni kweli alifanya hayo makosa? Ni kweli alikuwa amelewa? Ni kweli alitukana? Ni kweli alipigana na mwalimu mwenzie eneo la kazi? Ni kweli mwalimu ni mtoro? Ni kweli mwalimu alikuwa anafanya mapenzi na mwanafunzi?
Ibainike, ithibitike pasipo shaka ni kweli mwalimu alikuwa nafanya mapenzi na mtoto wa shule, ikishabainika sasa hatua za kinidhamu zinachukuliwa. Mwalimu anaweza akafukuzwa kazi na kama alikuwa mtoro, mwalimu mwengine unakuta ametoroka mwaka mzima hayupo kumbe anafundisha private, huku anafundisha private huku anachukua mshahara wa serikali.
MWANDISHI: Kwanini huyu anatafuta kazi ya ziada, inawezekana kipato anachokipata mwalimu huyu ni kidogo?
MOSES CHITAMA: Kati ya walimu ambao wana maslahi mazuri, ambao wanapewa kipaumbele na serikali ni walimu. Mishahara yao mikubwa ya walimu, yaani ukimaliza degree yako unapata mshahara mkubwa kuliko mtumishi mwingine anaeanza, anaemaliza degree yake anaenda kwenye fani zingine. Mwalimu mshahara wake ni mkubwa, sitaki kukwambia hapa ni shilingi ngapi lakini huo ndio ukweli.
View attachment 1657898