Acha ujinga wako. Mshahara wa mwalimu unaujua? Walimu wangapi nchi hii wenye uwezo wa kutumia mshahara wao na kujiwekea akiba? Unapopata mshahara wa chini ya milioni moja unasema una mshahara mkubwa? Chini ya Dola 430!!! Wakati Rais juzi amesema watu wanalipwa zaidi ya milioni 15, sawa na dola zaidi ya 6500, kwa nini walimu wasilalamike?
Kazi ya ualimu ni ya kutukuka sana wangepaswa Kulipwa wala 2,300,000 kwa mwezi ambazo ni sawa na dolla 1000 tu, maisha yao yangabadilika
hapo ulipo sema ni sawa maana hao wote nazini wamesoma 3 yrs degree ila kuna IT wa kompyuta sayansi 3 yrs anaanza TGS E na ambayo ni kubwa kuliko TGTS DKwanini analaumiwa huyu jamaa mbona kasema ukweli? Anasema walimu wanalipwa mshahara mkubwa kuliko watumishi wengine wa level ile ile.
Mfano, watu waliosoma na wakamaliza pamoja degree, mmoja akaajiriwa ualimu TGTS D na mwingine akawa Afisa Ustawi wa Jamii TGS D. Mwalimu mwenye TGTS D anamshahara mkubwa kuliko Afisa Ustawi wa jamii mwenye TGS D. Be informed
Wabunge Wanapishana Majukwaani Kutaka Vijana Wajiajiri Hali yakua, Bunge Hili Hilo Lilipitisha Malipo YaNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu amesema walimu ndio kada ya watumishi wa umma wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko kada nyingine yoyote.
Naibu Katibu Mkuu amesisitiza kuwa walimu wanalipwa mishahara mikubwa sana nchi hii kuliko kada nyingine zote.
Naibu waziri ameyasema hayo kwenye kipindi cha televisheni cha chanel ten.
========
MOSES CHITAMA: Tumekuwa tukipata waajiri ambao ni wakurugenzi kwa mujibu wa sheria ilivyo, mkurugenzi analeta mashtaka kwamba mwalimu huyu amebainika na makosa haya. Tunaanzisha taratibu za kumchukulia hatua za kinidhamu.
Mwalimu anapewa barua ya shtaka ajieleze ambae anaundiwa kamati za uchunguzi kuchunguza shauri lake, Je ni kweli alifanya hayo makosa? Ni kweli alikuwa amelewa? Ni kweli alitukana? Ni kweli alipigana na mwalimu mwenzie eneo la kazi? Ni kweli mwalimu ni mtoro? Ni kweli mwalimu alikuwa anafanya mapenzi na mwanafunzi?
Ibainike, ithibitike pasipo shaka ni kweli mwalimu alikuwa nafanya mapenzi na mtoto wa shule, ikishabainika sasa hatua za kinidhamu zinachukuliwa. Mwalimu anaweza akafukuzwa kazi na kama alikuwa mtoro, mwalimu mwengine unakuta ametoroka mwaka mzima hayupo kumbe anafundisha private, huku anafundisha private huku anachukua mshahara wa serikali.
MWANDISHI: Kwanini huyu anatafuta kazi ya ziada, inawezekana kipato anachokipata mwalimu huyu ni kidogo?
MOSES CHITAMA: Kati ya walimu ambao wana maslahi mazuri, ambao wanapewa kipaumbele na serikali ni walimu. Mishahara yao mikubwa ya walimu, yaani ukimaliza degree yako unapata mshahara mkubwa kuliko mtumishi mwingine anaeanza, anaemaliza degree yake anaenda kwenye fani zingine. Mwalimu mshahara wake ni mkubwa, sitaki kukwambia hapa ni shilingi ngapi lakini huo ndio ukweli.
View attachment 1657898
Na tena hawana no hatuna safari za kikazi wala warsha kwa kipindi chote cha mwaka! zaidi sana kwenda kusahihisha mitihani na kulipwa per script!! na hapo ukitoka na laki nne kwa kazi ya siku zaidi ya 20, unashukuru Mungu.Ni sahihi kwa maana ya rank, yaani Mfanyakazi mwingine kutoa madaktari na wanasheria. Mshahara wa kuanzia wa Mwal ni mkubwa.
Lakini swali linakuja mkubwa wa kukidhi mahitaji kulingana na hali ya maisha na mfumuko wa bei wa Mara kwa Mara? Jibu ni hapana
Hiki ndicho alichomaanisha.Sio kwamba wage bill yao ni kubwa kwa sababu wapo wengi?
TASAC umewasahau..Rais alisema TRA wanachukua pesa nyingi au katibu hakumwambia Rais kuwa waalimu ndiyo wana mishahara mikubwa na siyo TRA?
Wao ni wengi na ndiyo jalala...Ila walimu ni walalamishi aisee utasema ndo waajiriwa tu nchi hii[emoji3]
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu amesema walimu ndio kada ya watumishi wa umma wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko kada nyingine yoyote.
Naibu Katibu Mkuu amesisitiza kuwa walimu wanalipwa mishahara mikubwa sana nchi hii kuliko kada nyingine zote.
Naibu waziri ameyasema hayo kwenye kipindi cha televisheni cha chanel ten.
========
MOSES CHITAMA: Tumekuwa tukipata waajiri ambao ni wakurugenzi kwa mujibu wa sheria ilivyo, mkurugenzi analeta mashtaka kwamba mwalimu huyu amebainika na makosa haya. Tunaanzisha taratibu za kumchukulia hatua za kinidhamu.
Mwalimu anapewa barua ya shtaka ajieleze ambae anaundiwa kamati za uchunguzi kuchunguza shauri lake, Je ni kweli alifanya hayo makosa? Ni kweli alikuwa amelewa? Ni kweli alitukana? Ni kweli alipigana na mwalimu mwenzie eneo la kazi? Ni kweli mwalimu ni mtoro? Ni kweli mwalimu alikuwa anafanya mapenzi na mwanafunzi?
Ibainike, ithibitike pasipo shaka ni kweli mwalimu alikuwa nafanya mapenzi na mtoto wa shule, ikishabainika sasa hatua za kinidhamu zinachukuliwa. Mwalimu anaweza akafukuzwa kazi na kama alikuwa mtoro, mwalimu mwengine unakuta ametoroka mwaka mzima hayupo kumbe anafundisha private, huku anafundisha private huku anachukua mshahara wa serikali.
MWANDISHI: Kwanini huyu anatafuta kazi ya ziada, inawezekana kipato anachokipata mwalimu huyu ni kidogo?
MOSES CHITAMA: Kati ya walimu ambao wana maslahi mazuri, ambao wanapewa kipaumbele na serikali ni walimu. Mishahara yao mikubwa ya walimu, yaani ukimaliza degree yako unapata mshahara mkubwa kuliko mtumishi mwingine anaeanza, anaemaliza degree yake anaenda kwenye fani zingine. Mwalimu mshahara wake ni mkubwa, sitaki kukwambia hapa ni shilingi ngapi lakini huo ndio ukweli.
View attachment 1657898
Haahaa huenda we Sio mtanzania.watanzania halis wanajua namaanisha nn kwenye uchaguzi wa mwaka huuWema upi?
Huo uwongo hauhitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kuujua, swali rahisi aulizwe chukua wote wenye degree za kwanza kwa mwalimu, mhasibu, daktari na mhandisi aulizwe viwango vyao vya mshahara. Tungejua nani analipwa zaidi. Walimu ni kundi kubwa lenye watumishi wengi na ndio linaloongozwa kulipwa duni.unataka kusema jamaa katuongopea?
Kiukweli huyu katibu kadanganya Sana huwezi fananisha mshahara wa mwenye diploma ya uhasibu na diploma ya uwalimu. Diploma ya uhasibu iko juu kimshaharaYaani huyu Katibu bure kabisa, sijui anamdanganya nani na kwa maslahi ya nani?
Hata kama hujui hesabu unajua kabisa kwamba TGS D anayoanza nayo Mwalimu mwenye bachelor ni ndogo kuliko TGS E anayoanza nayo Land Surveyor, au Engineer aliyeajiriwa na Halmashauri.
You can't fool all the people all the time. Poor him
Huyu ni kiongozi katika Taifa la TANZANIA AU SOMALIA? Ni hatari kuwa na kiongozi anayeweza kusema uongo hadharani bila kujali chochote. Viongozi walioko juu yake wawe makini ama sivyo wataishia kupewa ripoti za kupotosha mudaNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu amesema walimu ndio kada ya watumishi wa umma wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko kada nyingine yoyote.
Naibu Katibu Mkuu amesisitiza kuwa walimu wanalipwa mishahara mikubwa sana nchi hii kuliko kada nyingine zote.
Naibu waziri ameyasema hayo kwenye kipindi cha televisheni cha chanel ten.
========
MOSES CHITAMA: Tumekuwa tukipata waajiri ambao ni wakurugenzi kwa mujibu wa sheria ilivyo, mkurugenzi analeta mashtaka kwamba mwalimu huyu amebainika na makosa haya. Tunaanzisha taratibu za kumchukulia hatua za kinidhamu.
Mwalimu anapewa barua ya shtaka ajieleze ambae anaundiwa kamati za uchunguzi kuchunguza shauri lake, Je ni kweli alifanya hayo makosa? Ni kweli alikuwa amelewa? Ni kweli alitukana? Ni kweli alipigana na mwalimu mwenzie eneo la kazi? Ni kweli mwalimu ni mtoro? Ni kweli mwalimu alikuwa anafanya mapenzi na mwanafunzi?
Ibainike, ithibitike pasipo shaka ni kweli mwalimu alikuwa nafanya mapenzi na mtoto wa shule, ikishabainika sasa hatua za kinidhamu zinachukuliwa. Mwalimu anaweza akafukuzwa kazi na kama alikuwa mtoro, mwalimu mwengine unakuta ametoroka mwaka mzima hayupo kumbe anafundisha private, huku anafundisha private huku anachukua mshahara wa serikali.
MWANDISHI: Kwanini huyu anatafuta kazi ya ziada, inawezekana kipato anachokipata mwalimu huyu ni kidogo?
MOSES CHITAMA: Kati ya walimu ambao wana maslahi mazuri, ambao wanapewa kipaumbele na serikali ni walimu. Mishahara yao mikubwa ya walimu, yaani ukimaliza degree yako unapata mshahara mkubwa kuliko mtumishi mwingine anaeanza, anaemaliza degree yake anaenda kwenye fani zingine. Mwalimu mshahara wake ni mkubwa, sitaki kukwambia hapa ni shilingi ngapi lakini huo ndio ukweli.
View attachment 1657898