Katibu wa Tume ya Utumishi wa walimu adai walimu ndio wanalipwa mishahara mizuri kuliko mtumishi yeyote Serikalini

Sio kweli mkuu mbona mhasibu anasoma miaka 3 na mwanasheria lakini mishahara yao ni mikubwa kuliko hao waalim ?
 
Huyu jamaa anadanganya nani?ngoja walimu humu wamwumbue ili aaibike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…