Katibu wa UWT mkoa wa Kilimanjaro jifunze alama za nyakati, punguza kupokea mlungula na warejeshee akina mama nauli walizotumia kwenda Dar

Kwa kifupi uongozi wa CCM mkoa wa kilimanjaro kuanzia Katibu wa ccm mkoa, makatibu wa ccm mkoa Jumuia zote na IT wa ccm mkoa . Kama hawataondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi ccm 2025 itauzwa na wanachama wataumia sana sana.
 

Acha tu yawakute ili mpunguze kiherehere. Mnaenda kumpongeza rais kwani hiyo kazi ya urais ni ya hisani au wajibu wake? Hizo siasa za kufuata Mkumbo mnaacha waume zenu ndani mnaenda kupiga uhuni, safari hii mtatia akili.
 
Duh!.
P
 
Bado ujasema mlichofanyiwa gest mliyofikia Mama wa kichaga unaombwa kalio dar?hakika umezalilishwa
 
Akina mama wa kichaga na kipare WA CCM
 
Una uhakika na ulisemalo? Katibu wa UWT ni jirani yangu hapa Moshi. Ngoja nimtafute ajibu
 
Ulivyo na matatizo angalia hapa:

 
peno hasegawa unaweza kuthibitisha haya uliyaandika?

Je, ulipoalikwa uliambiwa kuwa utarejeshewa nauli au uliambiwa kuwa kila mjumbe atajigharamia usafiri, malazi na chakula. Hakuna posho uliyo ahidiwa. Mbona sasa unakiuka tulivyo ambiwa sisi wajumbe wa UWT kutoka Mkoa wa Kilimanjaro. Nitoe ushahidi?
 
Tukiwambia ccm na jumuia zake ni genge la wapumbavu muhame hamtuelewi pambaneni na hali zenu, BAWACHA huko kilimanjaro uliona ilivyofana na kila mtu alirudishwa hadi mlangon kwake huku huduma zote yakiwemo malazi na chakula plus usafir ukisimamiwa kwa ustadi wa kiwango cha kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…