Katibu wa UWT mkoa wa Kilimanjaro jifunze alama za nyakati, punguza kupokea mlungula na warejeshee akina mama nauli walizotumia kwenda Dar

Huyu ni mwongo. Nadhani anataka cheo chake tu. Alete vithibitisho maana mimi nilikuwa mmoja wa wajumbe
Huyu binti ni mhutu. Hatamkoa wa mara wakimkataa akiwa katibu wa UWT MKOA WA MARA. Ni mkatili nampenda rushwa mkubwa.
 
Wewe ni mwehu.
Wilaya zingine ndani ya mkoawa kilimanjaro UWT wamepewa fedha kupitia wabunge wao na ccm.
Kupitia mkoani KATIBU amepokea akaenda kuzifanyia sherehe Dodoma.
 
Mnawaacha waume zenu na watoto mnaenda kudanga Dar kwa kisingizio cha kumpongeza mtu... Ufuska tu nan hajui tabia zenu... Malipo ya vilio vya familia zenu mlizoziacha ndio hayo mateso mbwa nyie, bahat yenu mngepatwa hata na ajali... Kaeni mtulie na familia zenu kwani mngesherekea mkoani kwenu mngepungukiwa nini...
 
Sasa naanza kukuonesha kuwa wewe ni Mzushi
Uzushi upi na mateso niliyo tuliyoyapata huku Dar.
Ndio sababu UWT ni ya wabibi, mabinti wangejiuza Dar wapate pa kulala na chakula.

Iwapo hatuta rejeshewa fedha za nauli Tsh 45,000 mara wajumbe 570 fedha za kulala 60,000 chakula Tsh 30,000 Jumla Tsh 135,000 sisi UWT mkoa wa kilimanjaro wilaya zote tutaelekeza kura za wabunge ,na madiwani upande tunaoujua sisi.(mana yetu samia hatutamuangusha kwani tunachofanyiwa UWT hajui na hajulishwi)
 
Mkome kujipendekeza mnakosa kazi ya kufanya unaenda Dar kumpongeza mtu alieshipa

Kwani mngejikusanya hapo Moshi mjini mkampongeza habari zisingemfikia?
 
Wajinga wakubwa nyie, hata mimi ningewafanyia hivyo, mlienda kupongeza kitu gani kama siyo upumbafu? hizo fedha mngetengeneza madawati mangapi badala ya kwenda kujiuza? heko kwa Katibu asiwazoeshe huu ujinga tena apate promotion awe Katibu Mkuu UWT asimamie vizuri fedha za chama.
 
Wachagga kwa ukabila eti mzaliwa wa Rwanda

USSR
 
Bado ujasema mlichofanyiwa gest mliyofikia Mama wa kichaga unaombwa kalio dar?hakika umezalilishwa
Wewe ni msaka cheo! Hivi ulikuwepo au ni umbea tu. Ulipata barua ya mwaliko na kama ulipata! Kuna pahala unaambiwa utapewa posho? Acha uzushi
 
Wewe ni mwehu.
Wilaya zingine ndani ya mkoawa kilimanjaro UWT wamepewa fedha kupitia wabunge wao na ccm.
Kupitia mkoani KATIBU amepokea akaenda kuzifanyia sherehe Dodoma.
Una uhakika! Lete vithibitisho maana wabunge Wapo! Wewe ni mzushi unatafuta cheo chake kwa udi na uvumba
 
Huyu binti ni mhutu. Hatamkoa wa mara wakimkataa akiwa katibu wa UWT MKOA WA MARA. Ni mkatili nampenda rushwa mkubwa.
Una uhakika? Ni mhutu ulimzaa wewe. That’s your word against hers! Ukiona mtu anaanza matusi, jua ameishiwa point na amepanic! Jenga hoja acha uzushi
 
Wapuuzi wakubwa nyie, ukiona mwanamke kwenye siasa ujue ndoa yake inashida ukichunguza kwa umakini sababu ya kuacha kujali familia na kuanza kudhurura hovyo kutafuta wanaume na favor
Kuna jamaa yangu anaitwa lymo alinipigia akanieleza bwashee shemeji yako anakuja mjini, nikamuuliza anakuja kutembea ooh hapana anakuja kwenye shughuli zake za kikazi nikajua mambo ya maana , kumbe ujinga ujinga tu
KUna mmoja mi alitaka kunikopa laki 1 ajili ya huu ujinga nikamtosa
 
Una uhakika? Ni mhutu ulimzaa wewe. That’s your word against hers! Ukiona mtu anaanza matusi, jua ameishiwa point na amepanic! Jenga hoja acha uzushi
Kaenda Dar kakosa bwana akapanic, unaenda kupongeza ujinga gani Dar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…