Katika ardhi ya Palestina nini kinawapa kipato raia wake?

Katika ardhi ya Palestina nini kinawapa kipato raia wake?

Nanye Go

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
10,856
Reaction score
14,607
Nikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?

Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.

Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
 
Nikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?

Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.

Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
Mi na hisi kipato chao kikubwa kila siku waishi hivi kupitia hamas
 
Huenda wafadhili wake kina iran, qatar na mataifa mengine pro palestine wanawapa hela za kufanya maendeleo yao
Inawezekana, kwasababu ukiangalia kwenye picha, hakuna Nyumba ya hovyo hovyo kama hizi zetu hapa. Kule ni Maghorofa tupu na siyo maghorofa uchwala ni maghorofa kweli.

Lakini sijawahi kusikia kama Palestina wanachimba mafuta, au wana uza madini nje au labda wanalima sana kuliko sisi.

Ardi yenyewe jangwa lile nikiangalia masalia ya vita sioni hata bustani za Mboga, huwa najiuliza wao kipato chao hutoka wapi?
 
My friend, Kama wakristo wanavyosema kuwa ukimbariki Israel utabarikiwa,magaidi nao husema Kila anaembariki Mpalestina amebarikiwa na anaemlaani,amelaaniwa. Nchi nyingi zakiarabu zinapeleka mafungu Yao ya kumi huko,,fauka ya hayo,Palestinian economy inategemea sana donations and international aid kutoka Kwa mashirika na nchi Kama vile UNRWA, Qatar, Turkey, na Umoja wa Ulaya, and non-governmental organizations. Contribution to the economy also comes from remittances sent by the Palestinian diaspora.

Ndio maana hawanaga uchungu na Mali zao maana sijasho lao. Huwezi kuskia wakililia majumba Yao kuharibiwa. Baada ya vita kusimama,kufikia Jana semi elfu 86 zilikuwa zishaingiza misaada Gaza. Unajua ukubwa wa huo msaada???

Ila pia Palestine wanauzaga cement, base metals, iron and steel, food and beverages, furniture, plastics and dairy products. Tuonane baadae iwapo utauliza Tena swali.
 
Kwa haraka tu.

Wapalestina walioko Gaza hawana uchumi ambao ni Formal ama unaoeleweka?

Kwa mtazamo wa mbeleni, unataka kutuaminisha kwamba Wapalestina wana mahitaji mengi na makubwa ambayo kwa uchumi waliokuwa nao hawawezi kuyatatua na kujenga Gaza.

yaani kwavile hawana kitu, bac wakubali wanachokisema USA na Israeli, kwamba waondolewe ili pajengwe upya, pawe na uchumi wa kuwapatia vipato kadha wa kadha, yaani hawana leverage, karata, ama kitu kama hicho ambacho kinawapa kiiburi cha kukataa mapendekezo ya hao mabeberu?

Na hivo bac, wanahitaji uchumi ambao ni wa uhakika/formal. Na labda only USA ama Trump na Israeli ndio wanaeza provide?

Hata hivyo baada ya cc Watanzania kujua nini kinawapa kipato, nini kifanyike?

=======

Follow up questions to follow.
 
Wanajengewa ata baada yamika mitano yatatokea mengi zaid tena mazuri waarabu wameshajipanga,vitu vya msaada havnna uchungu ndomana wanaanzisha vururugu wakijua yakibomolewa yatajengwa tuu. Na wana shirika lao kabisaa lamisaada lakuwahudumia chakula kutoka umoja wa mataifa nashule mahospital ya misaada
 
My friend, Kama wakristo wanavyosema kuwa ukimbariki Israel utabarikiwa,magaidi nao husema Kila anaembariki Mpalestina amebarikiwa na anaemlaani,amelaaniwa. Nchi nyingi zakiarabu zinapeleka mafungu Yao ya kumi huko,,fauka ya hayo,Palestinian economy inategemea sana donations and international aid kutoka Kwa mashirika na nchi Kama vile UNRWA, Qatar, Turkey, na Umoja wa Ulaya, and non-governmental organizations. Contribution to the economy also comes from remittances sent by the Palestinian diaspora.

Ndio maana hawanaga uchungu na Mali zao maana sijasho lao. Huwezi kuskia wakililia majumba Yao kuharibiwa. Baada ya vita kusimama,kufikia Jana semi elfu 86 zilikuwa zishaingiza misaada Gaza. Unajua ukubwa wa huo msaada???

Ila pia Palestine wanauzaga cement, base metals, iron and steel, food and beverages, furniture, plastics and dairy products. Tuonane baadae iwapo utauliza Tena swali.
waache vita wajenge gaza yao
 
Nikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?

Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.

Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
Misaada.
 
My friend, Kama wakristo wanavyosema kuwa ukimbariki Israel utabarikiwa,magaidi nao husema Kila anaembariki Mpalestina amebarikiwa na anaemlaani,amelaaniwa. Nchi nyingi zakiarabu zinapeleka mafungu Yao ya kumi huko,,fauka ya hayo,Palestinian economy inategemea sana donations and international aid kutoka Kwa mashirika na nchi Kama vile UNRWA, Qatar, Turkey, na Umoja wa Ulaya, and non-governmental organizations. Contribution to the economy also comes from remittances sent by the Palestinian diaspora.

Ndio maana hawanaga uchungu na Mali zao maana sijasho lao. Huwezi kuskia wakililia majumba Yao kuharibiwa. Baada ya vita kusimama,kufikia Jana semi elfu 86 zilikuwa zishaingiza misaada Gaza. Unajua ukubwa wa huo msaada???

Ila pia Palestine wanauzaga cement, base metals, iron and steel, food and beverages, furniture, plastics and dairy products. Tuonane baadae iwapo utauliza Tena swali.
Upuuuzi unaandika yaani watu wanaishi na kujenga Kwa Hela za misaada ,
 
Wanajengewa ata baada yamika mitano yatatokea mengi zaid tena mazuri waarabu wameshajipanga,vitu vya msaada havnna uchungu ndomana wanaanzisha vururugu wakijua yakibomolewa yatajengwa tuu. Na wana shirika lao kabisaa lamisaada lakuwahudumia chakula kutoka umoja wa mataifa nashule mahospital ya misaada
Nchi ikiwa kwenye vita na inashambuliwa misaada ya kibanadam lazima ipelekwe maana wananchi kipindi Cha vita hawaezi kwenda kufanya kazi ?
 
Inawezekana, kwasababu ukiangalia kwenye picha, hakuna Nyumba ya hovyo hovyo kama hizi zetu hapa. Kule ni Maghorofa tupu na siyo maghorofa uchwala ni maghorofa kweli.

Lakini sijawahi kusikia kama Palestina wanachimba mafuta, au wana uza madini nje au labda wanalima sana kuliko sisi.

Ardi yenyewe jangwa lile nikiangalia masalia ya vita sioni hata bustani za Mboga, huwa najiuliza wao kipato chao hutoka wapi?
Wana shughuli nyingi sana za kiuchumi ila za kutumia akili hususani katika kutoa huduma ; consultancy , mambo ya teknolojia (makampuni ya wapalestine),.

kingine wale wana diaspora wanaopenda kujenga kwao kwa kuwapeleka pesa , wengi wako maeneo ya karibu kama saudia , iran , israel , hata bara la Europe na America .
 
My friend, Kama wakristo wanavyosema kuwa ukimbariki Israel utabarikiwa,magaidi nao husema Kila anaembariki Mpalestina amebarikiwa na anaemlaani,amelaaniwa. Nchi nyingi zakiarabu zinapeleka mafungu Yao ya kumi huko,,fauka ya hayo,Palestinian economy inategemea sana donations and international aid kutoka Kwa mashirika na nchi Kama vile UNRWA, Qatar, Turkey, na Umoja wa Ulaya, and non-governmental organizations. Contribution to the economy also comes from remittances sent by the Palestinian diaspora.

Ndio maana hawanaga uchungu na Mali zao maana sijasho lao. Huwezi kuskia wakililia majumba Yao kuharibiwa. Baada ya vita kusimama,kufikia Jana semi elfu 86 zilikuwa zishaingiza misaada Gaza. Unajua ukubwa wa huo msaada???

Ila pia Palestine wanauzaga cement, base metals, iron and steel, food and beverages, furniture, plastics and dairy products. Tuonane baadae iwapo utauliza Tena swali.
Misaada sio ya kujenga magorofa na barabara , Wapalestina wamakuwa kama special group tangu mwaka 1948 na nyuma ya hapo kidogo ..Hakuna msaada wa kuleta maendeleo hata kidogo .

Kinachofanyika ni kwamba pale ni kama ilivyo Dubai , hapa kwa Dubai labda uulize swali ..Basi pale palestina kuna makampuni ya maasimu na shughuli za kiuchumi ili kupunguza ushindani ; Saudia na iran wana kampuni zao ila zinajuikana kama za wapalestine . Kwa mantiki rahisi pale watu watakatisha fedha , pesa ni nyingi kuliko shughuli husika za kiuchumi . Hta israel wanaendesha kampuni zao hapo palestina .
 
Wajasiliamali ndio namna wanaendesha maisha yao.Kuhusu majengo marefu yaliyopo Gaza(mengi yameangushwa katika vita) ni kwamba kuna watu binafsi wenye pesa zao wame-invest,pia misaada kutoka mashirika ya kimataifa na mengineyo(kuna mtu kakujibu vizuri post za mwanzo kakwambia kama utakuwa na ziada umtafute jibu lake ni sahihi kueleza Gaza maisha yao yalivyo)
 
Back
Top Bottom