Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica
Baada ya kingo kuna nini?
Kama ndio mwisho wa dunia mwanzo wa dunia ni upi?
Kama ndio mwisho wa dunia inamaana ukienda pande 16 za dunia utalikuta hilo bara na kingo zake?
 
Mbona walishaligawana,kila taifa kubwa Lina kipande chake?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica

mkuu,hii chai umekunywa juani.

dunia sio duara na umeleta picha ya duara hilo hilo kwa juu unasema ni flat[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Kwa mimi ninavyojua, ilo continent kabla ya dunia kujimega vipande kutoka sehem moja(pangea) lilikuwa sehem ya bara la afrika na pia kuna wakazi walikuwa wakiishi huko.

Pia theory ya flat earth huwa unaweza kupata proof kutoka huko, maana mpka sasa hakuna anayeweza kuleta umbo halisi la dunia nje ya mipicha ya photoshoot kutok kwenye macomputer na picha za uongo kutoka NASA.

Masalia ya mabaki ya wakazi wa zamani ambao baadhi yao hawakuwa wakazi halisi wa dunia hii waweza yapata huko, pia technolojia ya watu wa kale imebaki huko, so wenye dunia yao hawawez ruhusu pua ya mtu ivuke huko kirahisi, watawawekea vikwavo vingi na uongo uongo mwingi wa kuwatisha ili msiendw huko, but behind the scene kuna mazito.

Haya ndiyo niyajuayo.
 
Tuelezee kidogo kama kuproof picha tu haitoshi.
Dunia duara kuna majira,usiku mchana iyo flati inakuaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…