Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Vishu Mtata

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2019
Posts
15,954
Reaction score
35,415
Antarctica

Kuna kitu kinanifikirisha sana kuhusu hili bara lisiloongelewa sana.

Wakati nasoma tulisoma mabara yote 6 vizuri kabisa na jamii ziishizo huku zinafahamika lakini tukaambiwa hili bara halikiwi na binadamu kwasababu ya baridi lake kali.

Je ni halikaliwi au halikuwahi kukaliwa kabisa!?

Na halikaliwi na binadamu sawa lakini ndo hata halifanyiwi tafiti mbalimbali maana ni kubwa kusema walishamaliza kulifanyia tafiti sidhani kama inawezekana!.

Yaani wanaenda anga za mbali huko, wanatuma rockets mbali kabisa na dunia kutafuta taarifa za huko nje lakini za hapa ndani kwetu mbona kama hazijitoshelezi.

Hili bara halina mimea na viumbe hai wengine?
Halina milima na mabonde ama vitu vya thamani zaidi ya kua na barafu tu?

kuna space suits za kuendea huko juu na wakasurvive ina maana hakuna chombo/mavazi ya kuendea hili bara!?

Vipi kwenye angle ya utalii (tumekaribishwa njombe kutalii baridi), vipi huko kwenye hilo bara hakuna hata cha kutalii!?

Nilijaribu kuchek mtandaoni nikaona bado vitu vinafichwa sana kulihusu japo umbali kutoka nchi zilizo kusini mwa dunia mpaka hilo bara si mbali kabisa kwa ndege. Mfano kutoka Australia ni km 6400 kama masaa 9 tu kwa ndege. Km 6927 kutoka South Africa.

Mwenye picha maelezo au source yoyote tunayoweza pata habari zaidi kuhusu hili bara tafadhari tujuze.
 
Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica
 

Attachments

  • Antarctic.jpg
    Antarctic.jpg
    8.4 KB · Views: 34
Mkuu salaam kwanza Antarctica ni bara la mwisho kugunduliwa yaani liligundukiwa juzi tu hapo mwaka 1820 na baada ya hapo likaja kutembelewa kwa mara ya kwanza miaka mia baadae..kwa sasa Antarctica wakubwa wa dunia wamejimilikisha maeneo na hutumika zaidi kufanyia research za kisayansi kuna nchi kama Usa,Pakistani, India,Chile,Norway,Argentina,France na UK Zina maeneo huko...
 
Antarctica

Kuna kitu kinanifikirisha sana kuhusu hili bara lisiloongelewa sana.

Wakati nasoma tulisoma mabara yote 6 vizuri kabisa na jamii ziishizo huku zinafahamika lakini tukaambiwa hili bara halikiwi na binadamu kwasababu ya baridi lake kali.

Je ni halikaliwi au halikuwahi kukaliwa kabisa!?

Na halikaliwi na binadamu sawa lakini ndo hata halifanyiwi tafiti mbalimbali maana ni kubwa kusema walishamaliza kulifanyia tafiti sidhani kama inawezekana!.

Yaani wanaenda anga za mbali huko, wanatuma rockets mbali kabisa na dunia kutafuta taarifa za huko nje lakini za hapa ndani kwetu mbona kama hazijitoshelezi.

Hili bara halina mimea na viumbe hai wengine?
Halina milima na mabonde ama vitu vya thamani zaidi ya kua na barafu tu?

kuna space suits za kuendea huko juu na wakasurvive ina maana hakuna chombo/mavazi ya kuendea hili bara!?

Vipi kwenye angle ya utalii (tumekaribishwa njombe kutalii baridi), vipi huko kwenye hilo bara hakuna hata cha kutalii!?

Nilijaribu kuchek mtandaoni nikaona bado vitu vinafichwa sana kulihusu japo umbali kutoka nchi zilizo kusini mwa dunia mpaka hilo bara si mbali kabisa kwa ndege. Mfano kutoka Australia ni km 6400 kama masaa 9 tu kwa ndege. Km 6927 kutoka South Africa.
Mwenye picha maelezo au source yoyote tunayoweza pata habari zaidi kuhusu hili bara tafadhari tujuze.
Kwa Mujibu wa Wikipedia: wakati wa Kiangazi, Mwezi wa Saba Hadi wa Tisa kuwa Watu karibia Alfu TANO wanaishi huko kwenye Vituo mbali mbali vya Ichunguzi vinavyomilikiwa na Kadhaa zilizo na Vituo huku. Idadi hupungua Hadi Watu Alfu Moja TU inapokea Miezi ya Kipupwe - October Hadi June. - Wikipedia. Tafsiri ya Kiswahili ni Yangu....
 
Back
Top Bottom