Hao wote ni watoto wa roman empire.........roman empire haijafa sema ime evolve tu inatawala kwa mgongo tofautiBritish ni global kweli maana effect yake hadi Sasa inaendelea kusumbua.
Sijaona German empire au ndio inawekwa kwenye ottoman empire!?
Hapo nimekusoma Sanaa hasa hapo ulipo hitimisha matukio mengi sana yametumia hiyo kanuni.Ndyo, Lakini mainstream information ndyo zinawataja Japanese, Lakini ni tukio lililo asisiwa na Jesuits ili kuhalalisha matumizi ya Nuclear kule Hiroshima...
PROBLEM-REACTION-SOLUTION
Vyema sana, hiyo inaitwa "Hegelian dialectic philosophy"Hapo nimekusoma Sanaa hasa hapo ulipo hitimisha matukio mengi sana yametumia hiyo kanuni.
Imegawanyika wapi na lini?!Ndio empire pekee ambayo haijapindiliwa. Badala yake, ndio empire pekee iliyogawanyika. Jitihada zote za kuiunganisha zinagonga mwamba
Imegawanyika wapi na lini?!
Conspiracy theories kuziamini ni uzoba kama kuamini kuna some supernatural 'thing' kilichouumba dunia(what do you mean religiously by 'dunia'? is it planet Earth or the whole universe?) .Aliyeumba MBINGU na DUNIA. What is the right translation of MBINGU religiously? Is it SKY or HEAVEN?Usiingize mambo ya imani kwenye haya mambo, Jesuits ni adui wa kila mmoja sio wasabato tu.
Siku ukijua ni nani waliohusika kuzamisha meli ya Titanic ndyo utaua Jesuits Ni watu wa aina gani.
Tafadhali ikiwezekana nikipateKwa ufupi ni kwamba Jesuits ndyo waasisi wa mapinduzi makubwa hapa ulimwenguni, wana nguvu sana na wapo juu ya kila kitu.
Hii ndyo structure ya ulimwengu wa giza ambao ndyo kila kitu katika hii dunia.
View attachment 3164578
Naweza nikakupa kitabu kwa njia ya PSF ukajifunza mengi zaidi.