Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Ruge Mutahaba kafanya mambo makubwa sana nchi hii. Hilo halina ubishi. Ila kuna dark side.

Kitendo cha kutoka na binti aliyekuwa anamlea kimuziki, huku akizaa na mfanyakazi wa chini yake kilikuwa ni doa sana.

Inaonyesha mazingira ya kuexploit watu kingono. Ingekuwa huko majuu mambo kama hayo yangekuwa skendo kubwa sana.

Katiko mambo aliyotuachia, ametuachia na hili lisilopaswa kufanywa.
 
Mzee, acha hiyo mambo; wabongo wameshaanza kubobea "kupambana na waliotangulia", unataka kuanzisha jipya kabla hawajamalizana na lililopo?

Nandy alikuwa kama ka-hiace hivi kalikojaa kabla ya Nenga, kisha Nenga kuwekwa pembeni kupisha wenye KISU, kisha kurudishwa kama MTUMISHI(si hana kitu) sasa.

Mwenye makosa ni yule aliyekutwa na nyama sio? Ila ni ashki zao pia kwakuwa yeye hakuwa akiwabaka au kwamba ndo amewabikiri kwamba ndo aliwatumbukiza kwenye hiyo kadhia.
 
Ruge Mutahaba kafanya mambo makubwa sana nchi hii. Hilo halina ubishi. Ila kuna dark side. Kitendo cha kutoka na binti aliyekuwa anamlea kimuziki, huku akizaa na mfanyakazi wa chini yake kilikuwa ni doa sana. Inaonyesha mazingira ya kuexploit watu kingono. Ingekuwa huko majuu mambo kama hayo yangekuwa skendo kubwa sana.

Katiko mambo aliyotuachia, ametuachia na hili lisilopaswa kufanywa.

THT pale katembea na mabinti kibao. Na wengine kazaa nao kabisaa

Clouds pia ametembea na wafanyakazi wake.

Ruge alikuwa anatumia cheo chake kutembea na wafanyakazi wa kike
 
Ruge Mutahaba kafanya mambo makubwa sana nchi hii. Hilo halina ubishi. Ila kuna dark side. Kitendo cha kutoka na binti aliyekuwa anamlea kimuziki, huku akizaa na mfanyakazi wa chini yake kilikuwa ni doa sana. Inaonyesha mazingira ya kuexploit watu kingono. Ingekuwa huko majuu mambo kama hayo yangekuwa skendo kubwa sana.

Katiko mambo aliyotuachia, ametuachia na hili lisilopaswa kufanywa.
Kama alifikia level ya mpaka kumchumbia Nandy lengo lake lilikuwa zuri sioni ubaya wowote.
 
Ruge Mutahaba kafanya mambo makubwa sana nchi hii. Hilo halina ubishi. Ila kuna dark side. Kitendo cha kutoka na binti aliyekuwa anamlea kimuziki, huku akizaa na mfanyakazi wa chini yake kilikuwa ni doa sana. Inaonyesha mazingira ya kuexploit watu kingono. Ingekuwa huko majuu mambo kama hayo yangekuwa skendo kubwa sana.

Katiko mambo aliyotuachia, ametuachia na hili lisilopaswa kufanywa.
Aliyetoka nae, ameishalalamika? sasa pikipili za shamba zakuwashia nini?, ulitaka ubanduliwe wewe? haya ya kusema watu wakati hawapo, hayana maana,wewe umefsnya nini kwenye jamii mpaka hapo ulipo, zaidi ya kutafuta ugari wako tu? Hao unaofikili walinyanyaswa kingono,walishawahi kulalamika kwenye vyombo vya sheria, wewe unawashwa na nini?
 
Kama alifikia level ya mpaka kumchumbia Nandy lengo lake lilikuwa zuri sioni ubaya wowote.
Ni kweli...
THT pale katembea na mabinti kibao. Na wengine kazaa nao kabisaa

Clouds pia ametembea na wafanyakazi wake.

Ruge alikuwa anatumia cheo chake kutembea na wafanyakazi wake
Huu sio uungwana na ni matumizi mabaya ya mamlaka.
 
THT pale katembea na mabinti kibao. Na wengine kazaa nao kabisaa

Clouds pia ametembea na wafanyakazi wake.

Ruge alikuwa anatumia cheo chake kutembea na wafanyakazi wake
Watanzania wangapi katika nafasi zao na kwa kutumia nafasi hizo wanakulana na walio chini yao.Kama haujawahi kuwa katika nafasi za juu popote unaweza kuongea mengi. Achana kabisa na suala la cheo na fedha mfukoni, ukiweza kujihimili wewe ni mwingine na ni Mungu amekusaidia. mcheki nabii Daudi, mcheki Clinton, mcheki Tyson, fuatilia ishu ya Samsoni ndo utajua.Kama demu wako ameliwa kuwa mpole tafuta mwingine
 
Aliyetoka nae,ameishalalamika?sasa pikipili za shamba zakuwashia nini?,ulitaka ubanduliwe wewe?haya ya kusema watu wakati hawapo,hayana maana,wewe umefsnya nini kwenye jamii mpaka hapo ulipo,zaidi ya kutafuta ugari wako tu?hao unaofikili walinyanyaswa kingono,walishawahi kulalamika kwenye vyombo vya sheria,wewe unawashwa na nini?
IMG_20220709_233920.jpg
 
Back
Top Bottom