Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Ruge Mutahaba kafanya mambo makubwa sana nchi hii. Hilo halina ubishi. Ila kuna dark side.

Kitendo cha kutoka na binti aliyekuwa anamlea kimuziki, huku akizaa na mfanyakazi wa chini yake kilikuwa ni doa sana.

Inaonyesha mazingira ya kuexploit watu kingono. Ingekuwa huko majuu mambo kama hayo yangekuwa skendo kubwa sana.

Katiko mambo aliyotuachia, ametuachia na hili lisilopaswa kufanywa.

"Situmii kinga hata kama wanasema una virusi" Bugana - Bill Nenga
 
Yaani wabongo wakati mwingine unaweza kuta watu wanakujua zaidi yako mwenyewe, watu wamependana na kuoana waacheni waishi kwa nafasi zao, kuna wengine mpaka wanazeeka hakuna kuoa wala kuolewa lakini kutwa ndoa za watu midomoni ndiyo maana hambarikiwi!
 
Yaani wabongo wakati mwingine unaweza kuta watu wanakujua zaidi yako mwenyewe, watu wamependana na kuoana waacheni waishi kwa nafasi zao, kuna wengine mpaka wanazeeka hakuna kuoa wala kuolewa lakini kutwa ndoa za watu midomoni ndiyo maana hambarikiwi!
Habari ya ndoa na watu kuoana imetoka wapi tena?
 
niliwahi waambia watu humu, ipo siku mtamuelewa 'dudu baya'
 
Ukifatilia maisha ya watu sana utapishana na maisha yako

So lengo lako ni lipi kuanzisha huu Uzi?

Mkiwa nyuma ya keyboard mnajifanya wasafi sana
Na Mungu atuhurumie tu kwakweli
 
Back
Top Bottom