Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Kwa kuwa hao wanawake hawajalalamika, itoshe kusema walikubaliana na muhusika...

Ruge hakuwa na hatakuwa mtu wa kwanza kuwa na wanawake wengi...
 
Haya mambo hutakiwi kuyasema mbele ya jamii inayowaza kut.ombana kama sehemu ya mafanikio. Jamii ambayo mtu anawaza atafute hela ili awe na mademu wakali na awabadilishe kama nguo. Huo utaratibu uko nchi ambazo zishaachana na utapiamlo na uzinduzi wa vyoo vya misaada. Ukiishi sehemu watu hawana ustaarabu ukiwa kinyume nao inaonekana unajisikia au una kiherehere.

CEO wa McDonald's miaka michache nyuma hapo alifutwa kazi kwa kujihusisha na mahusiano na mfanyakazi wake. Hawakuishia hapo, walifanya uchunguzi na kugundua alijihusisha na wafanyakazi wengine watatu na alikuwa na kesi ya kujibu na hatimaye akirudisha kiasi fulani cha mamilioni aliyolipwa na kampuni. Ukitazama performance wise jamaa aliinyanyua sana brand ila hawakujali hilo.

Bill Clinton aliachiza ngazi ya urais wa Marekani kwa kesi ya kutoka kimapenzi na mmojawapo wa secretary wa White House, Monica Lewinsky.

Ukija bongo mambo ni tofauti kabisa. Degree za chupi, HR na wafanyakazi, mabosi na wafanyakazi, wachungaji na waumini. Fujo tu
Duuh Bill Clinton aliachia ngazi ya urais????????
 
Kama kuna aliyebakwa angesema tu kuwa jamaa amembaka ila kama sababu ilikuwa ni njaa zao basi marehemu aachwe atulie aliko.

Hakuna ambaye hajui kuwa bongo ukiwa na hela za kubadilishia mboga na ukawa na cheo au umaarufu mkubwa wanawake wenyewe ndio hukutega ili uwale.
 
Kwa kuwa hao wanawake hawajalalamika, itoshe kusema walikubaliana na muhusika...

Ruge hakuwa na hatakuwa mtu wa kwanza kuwa na wanawake wengi...
Sasa unategemea nini kwenye kizazi hiki ambacho kila mtoto wa kike interest yake ni mwanaume mwenye mafanikio na hela.
 
ETI KUMSEMA MAREHEMU NI VIBAYA!!!
KWAMBA MAREHEMU ANATAKIWA KUSEMWA VIZURI TU!!!??
 
Tukisema tuanze Kuchunguzana kwa kila Dhambi zetu huenda tukaja kugundua kuwa Wewe ndiyo una Dhambi nyingi na za Hatari kuliko hata hizi chache za huyu Marehemu Ruge Mutahaba.

Na Waswahili tuna tabia moja ya Kipumbavu ya kupenda Kuamini kila tunachokisikia na Kukariri Maisha. Kwa mfano wengi Wetu tunamuhukumu Marehemu Ruge kuwa alikuwa ni 'Mpenda Mbunye' kwakuwa tu tumekaririshwa kuwa Wahaya wanazipenda.

Na usichokijua tu ni kwamba 75% ya Mademu aliokuwa 'akiwabandua' walikuwa 'Wakimshobokea' Wenyewe hata kama hakuwa na haja nao na Mimi nilisifu na kupenda mno jinsi alivyokuwa 'akiwabandua' bila Huruma kwani ndicho walikuwa wakikitaka. Ukichezea Koki ni lazima Utalowa tu Kudadadeki.

Mwisho jifunze kuwa na Adabu za Kiafrika kuwa Mtu akishatangulia mbele za Haki huwa hatusemi tena mabaya yake bali huwa tunahubiri Mema na Mazuri yake ili Vizazi vilivyopo vijifunze.

Hukumu dhidi ya Mabaya / Mapungufu yake huwa tunamuachia Mwenyezi Mungu kwakuwa Yeye pekee ndiyo ajuaye ukubwa wa Dhambi zetu Sisi Wanadamu na pia atuadhibu ( atuhukumu ) kwa Kiwango gani.
Kuna time unakuga serious [emoji23][emoji23]
 
kwa kukurahisishia tu ni kuwa bwana ruge ametembea na kila mwanamke unaemuona anajishughurisha na mambo ya sanaa....mademu wazuri wote kuanzia bongo movie, watangazaji na wasanii hakuna ambae ruge hajapita nae...yule jamaa alikuwa ana kizizi haki vile nawaambia na enzi zake demu ambae atatongozwa na ruge ukimfuata hata na pesa hakubari sijui alikuwa anawapa nini...

kuna mwanamke mmoja maarufu kwenye msiba wa ruge, alilia sana ilimchukua siku tatu kumlilia ruge kwa wadhi kabisa....harafu huyu mwanamke alikuwa ni mke wa mtu...​
 
Naona wengi wanakomaa na Nengatronox,,,mbona Muongoza Njia alizalisha Mabinti kibao ikiwemo Mke wa DJ wa Nasib,,,Kuna Watu wanaletwa Dunia kuzichakata Mbususu halafu Kuna wale kula kwa macho,,,,amini kwamba ipo hiyo.
 
Bill Clinton aliachiza ngazi ya urais wa Marekani kwa kesi ya kutoka kimapenzi na mmojawapo wa secretary wa White House, Monica Lewinsky.
Bill Clinton hakuachia ngazi kwenye ile skendo ya Lewinsky, Mkuu. Alikuwa impeached na House of Representatives lakini akawa acquitted na Senate, hivyo alimaliza mpaka mwisho alipomuachia Bush mwaka 2001.

Na tukio la Clinton na Lewinsky ni mfano wa undumilakuwili wa Jamii "iliyostaarabika". Katika kashfa ile Clinton alikuwa na watetezi wengi. Feminists wengi walimtetea Bill Clinton na kumuacha Monica. Mmoja wapo alikuwa ni wakubwa katika Feminists, Gloria Steinem.

Clinton alikuwa Feminist mwenzao, tena mwenye faida kwao. Alimchagua Ruth Bader Ginsburg, Liberal na Feminist, kuwa Justice wa SCOTUS.
 
Bill Clinton hakuachia ngazi kwenye ile skendo ya Lewinsky, Mkuu. Alikuwa impeached na House of Representatives lakini akawa acquitted na Senate, hivyo alimaliza mpaka mwisho alipomuachia Bush mwaka 2001.

Na tukio la Clinton na Lewinsky ni mfano wa undumilakuwili wa Jamii "iliyostaarabika". Katika kashfa ile Clinton alikuwa na watetezi wengi. Feminists wengi walimtetea Bill Clinton na kumuacha Monica. Mmoja wapo alikuwa ni wakubwa katika Feminists, Gloria Steinem.

Clinton alikuwa Feminist mwenzao, tena mwenye faida kwao. Alimchagua Ruth Bader Ginsburg, Liberal na Feminist, kuwa Justice wa SCOTUS.
Asante mkuu. Sheria za Marekani ni ngumu kuzitafsiri na zile houses zao zinachanganya kwa kiasi fulani, hasa sheria za kodi ndio ngumu kuliko
 
Back
Top Bottom