Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Haya mambo hutakiwi kuyasema mbele ya jamii inayowaza kut.ombana kama sehemu ya mafanikio. Jamii ambayo mtu anawaza atafute hela ili awe na mademu wakali na awabadilishe kama nguo. Huo utaratibu uko nchi ambazo zishaachana na utapiamlo na uzinduzi wa vyoo vya misaada. Ukiishi sehemu watu hawana ustaarabu ukiwa kinyume nao inaonekana unajisikia au una kiherehere.

CEO wa McDonald's miaka michache nyuma hapo alifutwa kazi kwa kujihusisha na mahusiano na mfanyakazi wake. Hawakuishia hapo, walifanya uchunguzi na kugundua alijihusisha na wafanyakazi wengine watatu na alikuwa na kesi ya kujibu na hatimaye akirudisha kiasi fulani cha mamilioni aliyolipwa na kampuni. Ukitazama performance wise jamaa aliinyanyua sana brand ila hawakujali hilo.

Bill Clinton aliachiza ngazi ya urais wa Marekani kwa kesi ya kutoka kimapenzi na mmojawapo wa secretary wa White House, Monica Lewinsky.

Ukija bongo mambo ni tofauti kabisa. Degree za chupi, HR na wafanyakazi, mabosi na wafanyakazi, wachungaji na waumini. Fujo tu
Clinton hakuachia urais. Rekebisha hapo
 
Ruge Mutahaba kafanya mambo makubwa sana nchi hii. Hilo halina ubishi. Ila kuna dark side.

Kitendo cha kutoka na binti aliyekuwa anamlea kimuziki, huku akizaa na mfanyakazi wa chini yake kilikuwa ni doa sana.

Inaonyesha mazingira ya kuexploit watu kingono. Ingekuwa huko majuu mambo kama hayo yangekuwa skendo kubwa sana.

Katiko mambo aliyotuachia, ametuachia na hili lisilopaswa kufanywa.
True that!!
 
Anold Schwarzenegger alimpa mimba beki tatu wake wakafanya iwe siri. Huyu kazaliwa hamjui baba ili walinde career yake ya uigizaji na politics. Miaka 13 baadae ndio Anold alikuja admit waziwazi na yenyewe ni kujilipua kwamba Joseph Baena ni mwanae (hatumii hata jina la baba).

Ingejulikana mapema ingevuruga mipango yake. Mkewe aliamuacha hapo hapo baada ya kujulishwaView attachment 2294635
Mke wake alikuwa boya... Yani dogo anodi mtupu.. akasubiri miaka 13!??
 
Ila wadada nao tamaaa mbele,kiukweli Nenga kazingua Kwa hili ajiandae kutawaliwa na kuendeshwa kama gari bovu
 
Ruge Mutahaba kafanya mambo makubwa sana nchi hii. Hilo halina ubishi. Ila kuna dark side.

Kitendo cha kutoka na binti aliyekuwa anamlea kimuziki, huku akizaa na mfanyakazi wa chini yake kilikuwa ni doa sana.

Inaonyesha mazingira ya kuexploit watu kingono. Ingekuwa huko majuu mambo kama hayo yangekuwa skendo kubwa sana.

Katiko mambo aliyotuachia, ametuachia na hili lisilopaswa kufanywa.
Ni kweli kabisa, na sio hao tu....jamaa aliharibuu
 
THT pale katembea na mabinti kibao. Na wengine kazaa nao kabisaa

Clouds pia ametembea na wafanyakazi wake.

Ruge alikuwa anatumia cheo chake kutembea na wafanyakazi wa kike
Sasa hata ungekuwa wewe vile vibinti vibichi hivyo uvisaidie tu bila kuvitafuna?
Hata ningekuwa mimi ningewala sana naunga mkono mwamba alikufa kishujaa sana akiwa ametumia vizuri nafasi yake kula maisha na kufaidi mbususu mbichi za videmu vyenye uchu wa mafanikio ya haraka
 
Watanzania wangapi katika nafasi zao na kwa kutumia nafasi hizo wanakulana na walio chini yao.Kama haujawahi kuwa katika nafasi za juu popote unaweza kuongea mengi. Achana kabisa na suala la cheo na fedha mfukoni, ukiweza kujihimili wewe ni mwingine na ni Mungu amekusaidia. mcheki nabii Daudi, mcheki Clinton, mcheki Tyson, fuatilia ishu ya Samsoni ndo utajua.Kama demu wako ameliwa kuwa mpole tafuta mwingine
Naunga mkono hoja mie mwenyewe siwezi kuacha kutafuna binti aliye chini yangu hata kama ni housegirl au secretary cha msingi akishoboka mwenyewe nampa ukuni-nyama
 
Aliyetoka nae,ameishalalamika?sasa pikipili za shamba zakuwashia nini?,ulitaka ubanduliwe wewe?haya ya kusema watu wakati hawapo,hayana maana,wewe umefsnya nini kwenye jamii mpaka hapo ulipo,zaidi ya kutafuta ugari wako tu?hao unaofikili walinyanyaswa kingono,walishawahi kulalamika kwenye vyombo vya sheria,wewe unawashwa na nini?
Punguza makasiriko
 
Mbona mnalalamika kuhusu Luge kuwatafuna mabinti mbona hapa mtaani kulikuwaga na mzee mmoja sasa ni marehemu alikuwaga anawatafuna mabinti weupe na kuwapa vyeo vikubwa kwenye "kampuni" yake?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acheni utani jamani mbususu ni kitu ingine kabisa
 
Haya mambo hutakiwi kuyasema mbele ya jamii inayowaza kut.ombana kama sehemu ya mafanikio. Jamii ambayo mtu anawaza atafute hela ili awe na mademu wakali na awabadilishe kama nguo. Huo utaratibu uko nchi ambazo zishaachana na utapiamlo na uzinduzi wa vyoo vya misaada. Ukiishi sehemu watu hawana ustaarabu ukiwa kinyume nao inaonekana unajisikia au una kiherehere.

CEO wa McDonald's miaka michache nyuma hapo alifutwa kazi kwa kujihusisha na mahusiano na mfanyakazi wake. Hawakuishia hapo, walifanya uchunguzi na kugundua alijihusisha na wafanyakazi wengine watatu na alikuwa na kesi ya kujibu na hatimaye akirudisha kiasi fulani cha mamilioni aliyolipwa na kampuni. Ukitazama performance wise jamaa aliinyanyua sana brand ila hawakujali hilo.

Bill Clinton aliachiza ngazi ya urais wa Marekani kwa kesi ya kutoka kimapenzi na mmojawapo wa secretary wa White House, Monica Lewinsky.

Ukija bongo mambo ni tofauti kabisa. Degree za chupi, HR na wafanyakazi, mabosi na wafanyakazi, wachungaji na waumini. Fujo tu
Hapa Umemaliza
 
Chupa limeamka na chai
Nafikiri niliumbwa kwa ajili yako mahususi sifikirii kutumia kinga ht wakisema una virusi Nengaaaaaa
 
Mimi ningekuwa Nenga yule demu nisingemuoa, wanaume tunatakiwa tuwe na misimamo. Yaani aende kutoatoa uchi huko kwa watu wengine kisa tu wamenizidi vyeo na pesa, baadae arudi kwangu? Hell to the NO.
 
Back
Top Bottom