Katika Ibada takatifu St. Theresa Arusha Mizengo Pinda alipewa nafasi ya kusalimia akaanza siasa

Katika Ibada takatifu St. Theresa Arusha Mizengo Pinda alipewa nafasi ya kusalimia akaanza siasa

Waziri Mkuu mstaafu bingwa wa kulia hovyo hovyo alishiriki misa takatifu St Theresa Jijini kwa heshima ya wadhifa aliwahi kushika Paroko akampatia nafasi ya kusalimia waumini.

Badala ya kusalimia waumini akaanza ohoo Rais Samia alikuwa Vatican [emoji1262] alikutana na Baba Mtakatifu walifanya mazungumzo ya maana sana.Blah blah .....

Mizengo Pinda Kayanza sisi waumini wa Kanisa Takatifu Catholic bado tunakumbuka mauzo ya Bandari zetu na dharau siku ya uwasilishwaji jinsi maAskofu wetu walivyodhalilishwa na lile pumbavu lisilo vaa viatu.

Ngongo kwasasa Arusha tayari kwa maandamano ya amani.
Mizengo Pinda ndio Mwenyekiti wa kamati ya CCM ya kuombea msamaha mafisadi wa report ya CAG kwa rais
 
Back
Top Bottom