Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakujadili kuhusu [emoji304]? Natamani kusikia hiki kitu wallahKukutana na Papa Francisco ni jambo kubwa Sana ujue
Utakopaje sasa?Hawakujadili kuhusu [emoji304]? Natamani kusikia hiki kitu wallah
Mizengo Pinda ndio Mwenyekiti wa kamati ya CCM ya kuombea msamaha mafisadi wa report ya CAG kwa raisWaziri Mkuu mstaafu bingwa wa kulia hovyo hovyo alishiriki misa takatifu St Theresa Jijini kwa heshima ya wadhifa aliwahi kushika Paroko akampatia nafasi ya kusalimia waumini.
Badala ya kusalimia waumini akaanza ohoo Rais Samia alikuwa Vatican [emoji1262] alikutana na Baba Mtakatifu walifanya mazungumzo ya maana sana.Blah blah .....
Mizengo Pinda Kayanza sisi waumini wa Kanisa Takatifu Catholic bado tunakumbuka mauzo ya Bandari zetu na dharau siku ya uwasilishwaji jinsi maAskofu wetu walivyodhalilishwa na lile pumbavu lisilo vaa viatu.
Ngongo kwasasa Arusha tayari kwa maandamano ya amani.
Ila wanawaongoza wewe, babaako na mamaako wanavyotaka na hamna cha kuwafanya! Kidadeki!!!!CCM karibia wote ni akili fupi
Rais wako kaenda kuleNi jambo kubwa na la kusikitisha, mtetea ulawiti kinyume na ukristo
Tangu enzi za Late Paroko Sirikwa.St. Theresa, kanisa limenilea hilo a very long time ago.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Haiondoi ukweli tunaongozwa na watu hopeless. Ndio maana hatuna maendeleo ya maana ukilinganisha na rasilimaliIla wanawaongoza wewe, babaako na mamaako wanavyotaka na hamna cha kuwafanya! Kidadeki!!!!
Papa anakuta hata na wahalifuKukutana na Papa Francisco ni jambo kubwa Sana ujue
Vatcan inatawala dunia na dini zote zipo chini yakeKukutana na Papa Francisco ni jambo kubwa Sana ujue
Mdhalilishe mtoto alafu kakutane na babaake udhani mtoto kasahau madharau uliyomfanyiaKukutana na Papa Francisco ni jambo kubwa Sana ujue
Ni kweli mkuu. Hivi majina mangapi yamepelekwa Vatican kwa ajili ya vetting?Kukutana na Papa Francisco ni jambo kubwa Sana ujue