Ndipo hapo imebidi nijikite kuangalia ilani yao je waliahidi kitu gani? Sasa nimebaki kuchanganyikiwa nikidani labda hawa wanaopinga maendeleo sio walioitangaza hii ilani au pengine waliiunga mkono kwa kulazimisha.
Ausio!! Unapenda kubishana sana. Hakuna kitu kama hicho mpaka 2016-17 Kenya ilikuwa inaongoza.sjui kwa sasa..tangu awamu ya 4 Tz imekuwa kinara na inaongoza kwa mapato ktk sekta ya utalii afrika mashariki.
Ausio!! Unapenda kubishana sana. Hakuna kitu kama hicho mpaka 2016-17 Kenya ilikuwa inaongoza.sjui kwa sasa
Ausio!! Unapenda kubishana sana. Hakuna kitu kama hicho mpaka 2016-17 Kenya ilikuwa inaongoza.sjui kwa sasa
Kuna Mahal popote niliposema tumewazid kenya???? Uwena akili hata ya kuunga doti ya point zangu..kwa hiyo tuliponunua ndege tu, tukawazidi kenya ktk mapato ya utalii!! Je,dreamliner imeanza lini safari za nje?
Kuna Mahal popote niliposema tumewazid kenya???? Uwena akili hata ya kuunga doti ya point zangu
Ww hamna kitu unajua, achia wanaojua wafanye kazi. Kelele zenu za chura hazizuii tembo kunywa maji..basi muwe wakweli kwamba mmenunua ndege na mnajua kuwa zitatuingizia hasara.
..mimi napendelea utaratibu ule ambapo tulikuwa tunapata faida ktk utalii bila ya kubeba mzigo wa hasara wa kuendesha shirika la ndege.
Ww hamna kitu unajua, achia wanaojua wafanye kazi. Kelele zenu za chura hazizuii tembo kunywa maji
Ok labda niwe clear! Before 2015 watalii wetu walikuwa wanakuja kwetu kupitia Nairobi ambako ndiko kwenye usafir wa ndege za uhakika. Huku kwetu wanakuja kutalii then waludi kenya. Then hotel za Kenya zinapata mapato,sie tunaambulia kuongoza kwenye mapato ya mbugani, ambako kwa mujibu wako tumekuwa tunaongoza. Kenya wakatumia nafasi hyo kubrand vivutio vyao had wakadai Kilimanjaro ipo kwao....ukisema unapinga ununuzi wa hzo ndege bas utuambie tuendelee kutumia Nairobi kama mlango wa utalii kwetu, coz watalii watatumia ndege za Kenya ambazo zinawafikisha Kenya direct Bila kupita vituo vingine. Tunaweza kuwazid Kenya kwa mapato ya utalii but mapato mengine ambayo sio ya utalii yakabaki kwao, ambayo may be ni mengi kuliko hayo ya utalii..Samahani.
..Nakiri kutokusoma vizuri post yako.
..hoja yangu ni kwamba Tz tuliongoza Afrika Mashariki kwa mapato ya utalii huku tukiwazidi Kenya na Rwanda wenye mashirika ya ndege.
..mwaka 2015 Kenya walipata usd 837 ktk sekta ya utalii, wakati Tz ilipata usd 1.9 billion.
Ok labda niwe clear! Before 2015 watalii wetu walikuwa wanakuja kwetu kupitia Nairobi ambako ndiko kwenye usafir wa ndege za uhakika. Huku kwetu wanakuja kutalii then waludi kenya. Then hotel za Kenya zinapata mapato,sie tunaambulia kuongoza kwenye mapato ya mbugani, ambako kwa mujibu wako tumekuwa tunaongoza. Kenya wakatumia nafasi hyo kubrand vivutio vyao had wakadai Kilimanjaro ipo kwao....ukisema unapinga ununuzi wa hzo ndege bas utuambie tuendelee kutumia Nairobi kama mlango wa utalii kwetu, coz watalii watatumia ndege za Kenya ambazo zinawafikisha Kenya direct Bila kupita vituo vingine. Tunaweza kuwazid Kenya kwa mapato ya utalii but mapato mengine ambayo sio ya utalii yakabaki kwao, ambayo may be ni mengi kuliko hayo ya utalii
..tujikite kwenye Shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa FAIDA.
..Je, ATCL inaendeshwa kwa faida?
..au ni lini ATCL itaanza kujitegemea na kupata faida?
..tukiweza kujibu maswali hayo ndipo tutakapojua busara ya kununua ndege za ma ilioni wakati hali yetu ya uchumi iko namna hii.
..good.
..Je, wakati atcl haitengenezi faida serikali imepanga kulipa shirika RUZUKU kiasi gani?
..na baada ya hiyo miaka mitano ya kubebwa na serikali tunatarajia atcl itengeneze faida kiasi gani?
..Rwanda Airways walikuwa na mpango wa miaka 5. Baadae wakasema miaka 10. Rwanda hawajawahi kupata faida tangu waanzishe shirika lao.Majuzi wamesalimu amri kwa kuingia ubia na Qatar Airways.
..South Africa wana abiria wengi kuliko sisi. Na pia wana uchumi imara kuliko wa kwetu. Miaka miwili iliyopita walilazimika kulipatia shirika lao la ndege usd 300 million ili liweze kujiendesha.
..Bahamas wanapokea watalii wengi mara 4 ya watalii wanaokuja Tz. Shirika lao la ndege mwaka jana limepata faida ya usd 500,000.
..Kwa hiyo mimi kwa maoni yangu nadhani kumiliki shirika la ndege ni BIASHARA KICHAA / PASUA KICHWA. Ina gharama kubwa ktk uwekezaji, na faida kiduchu mno.
..Na nyinyi mnaunga mkono manunuzi ya ndege haijalishi kama atcl itaendeshwa kwa hasara kwa muda mrefu.
..mimi sikuhusika kuandika ilani ya cdm.
..pia nimesema nilikuwa napinga serikali kumiliki shirika la ndege tangu Jpm hajaingia madarakani. Unaweza kutafuta mabandiko yangu hapa JF kujiridhisha.
..nyinyi mna ugonjwa wa kumuabudu Jpm. Kila uamuzi anaoufanya hata kama unasababisha hasara mnamuunga mkono.
Uende mbali think wide! huwezi kufanya hayo yote wakati wananchi hawana maji, you have to srike the balance. There is no striking balance with Jiwe!
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyependa maendeleo ya nchi yake! Tunachokikataa na kukipinga, ni kitendo cha kuwekeza nguvu nyingi kwenye maendeleo ya vitu huku yale ya watu yakipuuzwa!
Angewekeze pande zote mbili, tusingesikia leo hii watumishi wa umma wakilalamika, biashara zikifungwa, nk. Haileti mantiki eti unaamua tu kwa makusudi kuwadhulumu wafanyakazi haki zao za msingi kwa kigezo cha kununua ndege, halafu utegemee wakushangile na kukuona wewe ni shujaa!
..basi muwe wakweli kwamba mmenunua ndege na mnajua kuwa zitatuingizia hasara.
..mimi napendelea utaratibu ule ambapo tulikuwa tunapata faida ktk utalii bila ya kubeba mzigo wa hasara wa kuendesha shirika la ndege.
Sasa mbona mnalazimisha kupendwa kama mnafanya maendeleo ya kununua ndege, tena kwa cash? Si mruhusu sasa demokrasia ifanye kazi! Mbona kila siku mnawazuia hao wapinzani kufanya siasa, huku mkijitahidi kuzunguka na hayo manguo yenu ya kijani? Mpaka kwenye misiba! hata aibu hamna!
Ukweri ni kwamba ndege hazituingizii hasara Bali faida...sio lazima faida upate ndani ya ndege hzo