Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Koka moto babu 😅Hayo mambo nawezea wapi Kwa Uzee huu Mkuu🤗
Babu yenu umri umenitupa Mkono, nimebaki kucheza na Wajukuu tu huku Kijijini 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koka moto babu 😅Hayo mambo nawezea wapi Kwa Uzee huu Mkuu🤗
Babu yenu umri umenitupa Mkono, nimebaki kucheza na Wajukuu tu huku Kijijini 😜
Acha roho ya choyo, wasabato sio wachoyo hivyonafunga sio mda
Mkuu kama ni online bas yupo nkiona tu kalike bas naondoka kimya kimya kwenye huo Uzi naangalia anavointeract na wadau mi nakua nashusha pumzi😁Sina namnaSi umtaje tu ni Ms R
Uje na mabegi yako😁ivi nyie nini lakin 😂😂
Kwenyee niniiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuogopa kupita kwenye naniiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi nakuweka mahali salama hutaki, utajajutia nafasi ni chache wenzio wanamlilia huyo na hawapati hata nafasi ya kuchatishwa.ivi nishawah kukukosea nkuombe msamaha
Nakutumia Hela mkatie ticket ya tireni ya electricity nauli 30k tuYupo dodoma huyo, veyula
Kufanya ninUje na mabegi yako😁
Na huo ndio ule upendo 1st class, grade One kabisa. Ms R Mungu akupe nini?Mkuu kama ni online bas yupo nkiona tu kalike bas naondoka kimya kimya kwenye huo Uzi naangalia anavointeract na wadau mi nakua nashusha pumzi😁Sina namna
Half american tusomee andiko hilo1wathesalonike 5:16-18
yanini
Kulima parachichiKufanya nin
Sawa mkuu nitafanya kama ulivyoagiza.Nakutumia Hela mkatie ticket ya tireni ya electricity nauli 30k tu
😁😁😁Mtoto wa kirangiNa huo ndio ule upendo 1st class, grade One kabisa. Ms R Mungu akupe nini?
kwani yeye anasemajeMimi nakuweka mahali salama hutaki, utajajutia nafasi ni chache wenzio wanamlilia huyo na hawapati hata nafasi ya kuchatishwa.
Kama kulima sitaki umlimishe Bora aje kwangu .Kulima parachichi
Njoo saiv magari ya usiku yapokwani yeye anasemaje
huku zipo nying sanaKulima parachichi
Nitasoma kama ilivyo andikwaHalf american tusomee andiko hilo
Huyo kaanza kutumia Gillette kabla ya 2015 afu aje hajui anakuja kufanyaje?Kama kulima sitaki umlimishe Bora aje kwangu .