Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Yaani jenga friendly environment mkutane. Yaani akija na hiyo simu lamba kabisa kama asali. Mhuni Sana huyo. Ukimaliiza kulamba unanyanyuka bila neno lolote unasepa zako. Unamla block ya mwaka.
 
Kachukue simu yako muachie line yake. Manake wakati unanunua hiyo simu si ulipewa risiti kwa jina lako ama!!??
 
Vp ulishawahi kumchakaza huyo dem ama ndio ilikuwa bado. Kama uliwahi mbembeleze tena mara ya pili akiingia kingi mpige mbuzi kagoma kwenda.
 
Hasa huyo mwanamke 1 aliyekupiga ndo afanye uone wanawake wote sio wa kuwaamini?
Eboo!
We fanya mpango chukua cm yako!

Usije shidwa kuwa na mwanamke mwaminifu kisa mmoja kazingua
 
Atalijua jiji.
Watu wametapeliwa nyumba hapa jijini.
Kama katoka Igunga arudi huko huko kijijini.
 
bora ungemnunulia tecno ya elfu ishirini ,change inayobaki ukamtumia mama yako hao wenzetu hawanaga shukrani,inakupasa kuwa kauzu flani
 
Malizia mjumbe....
 
Chukua simu yako unangojea nini.?
 
Nenda na mapolice feki kachukuwe simu yako ,huyo ni tapeli wa mapenzi.. hakuna kuendekeza wala kusamehe ujinga..!


Hiyo simu hakukuomba umpe, beta males mtaendelea kupigwa matukio mwanzo mwisho kwa kuiga mapenzi ya bongo mocie na Hollywood..mixer mbwembwe za bongo flavour.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] badilisha handle kwanza otherwise utaishia kupatwa namikosi Kila kukicha

Kwisha habari yako [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…