Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 7,781
- 6,966
Sitaki kutembea na mwanafunzi aliye chini ya umri wa miaka 18, wala sitaki kulawiti vitoto vidogo. Ila ninaumia moyoni kwa kuchekwa na marafiki lol!
Pole sana mkuu na matobo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kutembea na mwanafunzi aliye chini ya umri wa miaka 18, wala sitaki kulawiti vitoto vidogo. Ila ninaumia moyoni kwa kuchekwa na marafiki lol!
nakusikiliza
Ndugu wadau wa JF,
mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.
Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia. Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.
Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.
Washawasha we umetoa ngapi?pole ndugu yangu,dah! yaani hauna zali kabisa.
Nalog off
jaman niseme mara ngap nakupenda unielewe? wewe ndo umeshikilia bolt za mwili wangu come on my angel i love you more than normal
aisee........
Umeshawahi kuogeshwa tindikali wewe...!?
c.c figganigga
aisee........
Umeshawahi kuogeshwa tindikali wewe...!?
c.c figganigga
Komaa komaa mkuu,utapiga mambo.
Zali hilo mdada, inabidi usilipoteze
naomba nikusaidie kushangaaaa mdogo wangu maanake mmmmmmhhhhhhhhhh :confused2: