Katika maisha yangu haya ya ujana, sijakutana na mwanamke bikira kimwili

Katika maisha yangu haya ya ujana, sijakutana na mwanamke bikira kimwili

Ndugu wadau wa JF,

mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.
Siku hizi wanazaliwa bila bikra
Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia.

Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.

Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.
Siku hizi wanazaliwa bila bikira
 
Pole mzee usijali! Hata mtumba siku hizi kuna grade one pia! Jambo la msingi jitihidi tu kufungua vizibo ipo siku utabahatika kupata brand new na kuacha na chakavu! Be careful kwenye kutafuta brand new kwani by the time unaipata huenda ulishaumizwa na chakavu (HIV+++++)
Ndugu wadau wa JF,

mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.

Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia.

Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.

Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.
 
Mhh japo ni jambo zuri kw dunia ya sasa nashangaa,tna mwanaume?‎؟una miaka mingap kwan
 
Ndugu wadau wa JF,

mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.

Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia.

Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.

Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.
asa kama wewe kila kukicha unafuna unatupa kule na wenzako kumi wakifanya hivyo unafikiri nn matokeo , ulisha nanhii wangapi kwani ? kazana usikate tamaa
 
Kwani kwa kukosa huyo mwenye bk je kuna kitu umepungikiwa? Ushuri wangu usifirie hiyo bk maana itakugharimu sana. Mara nyingi is just a luck kukutana na binti mwenye bikira.
 
Ndugu wadau wa JF,

mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.

Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia.

Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.

Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.

This is your private business. Kama huna mada ya maana soma michango ya wenzako

 
Sitaki kutembea na mwanafunzi aliye chini ya umri wa miaka 18, wala sitaki kulawiti vitoto vidogo. Ila ninaumia moyoni kwa kuchekwa na marafiki lol!


we mwenyewe bikira??
 
kwaio una hitaji bikra au??? sijakupata bado hapo mkuu
 
basi kama inakuuma mzae wa kwako then mbikiri kabla wengine hawajakuwai,au na wewe uwe bikra then utampata aliyebikramwenzako ikishindikana nenda kasino wapo wengi kweli mabikra huko chagua upendavyo
 
Ndugu wadau wa JF,

mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.

Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia.

Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.

Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.
Wanasema wanawake wajinga, nachoshukuru ujinga hupona lakini upumbavu wa wanaume hauishi maana hata baba wa taifa alisema upumbavu ni kama urefu na ufupi hauishi wala hauponi.
so wakikuambia wao wamelala na waathirika wa ugonjwa hatari wa kuambukiza pia utatamani na wewe umpate mmoja. Kwanini ujisikie vibaya, we ulikuwa bikira wakati unakutana na uliyenaye kwamba umedhulumiwa
 
Wanasema wanawake wajinga, nachoshukuru ujinga hupona lakini upumbavu wa wanaume hauishi maana hata baba wa taifa alisema upumbavu ni kama urefu na ufupi hauishi wala hauponi.
so wakikuambia wao wamelala na waathirika wa ugonjwa hatari wa kuambukiza pia utatamani na wewe umpate mmoja. Kwanini ujisikie vibaya, we ulikuwa bikira wakati unakutana na uliyenaye kwamba umedhulumiwa
PesaNdogo mbona hivyo lakini?!
 
Last edited by a moderator:
Haya ni mawazo mgando sana.

Nchi hii ni masikini sana lakini kwa mawazo
haya lazima iwe masikini zaidi ya hapa.

Kuna thread humu jamvini kuna Dada analalama
kuwa alifanyiwa unyama na Baba yake Mkubwa
ndiyo usichana wake ukatoka.


Jaribu kulinganisja hao rafiki zako waliofanikiwa
kuwatoa bikra wasichana wana maendeleo gani?
Vp nawe usiyewahi kutoka bikra ni masikini mno

Uwe makini na unachowaza! Laa utafungwa.

hakuna ubaya mtu ku express unachojickia.... anachoitaj ni ushauri nasaha tu kama anaweza pata au la maana ni mambo yapo ktk jamii yetu!!! who wouldnt jump at a chance ya kukutana na kiumbe bikra? mbona wanawake wenye nazo wanaambiwa wazitunze mpaka wakiolewa it means there is something special about it si ndio? so hakuna kosa kuitafuta as long as kihalali!!!
 
PesaNdogo mbona hivyo lakini?!
nikuulize wewe shida iko wapi, kwani hao mabikira hicho kiungo huwa bikra milele hakibadiliki? ukishamtumia atakuwa sawa na hao wote uliokutana nao so what is the point inayokupa pressure?? sio lazima upate kila anachopata mwanaume mwingine tena wanawake wengi hawakukutendewa haki wakati wanapoteza hizo bikra wengine walibakwa n.k sasa una uhakika hao wanaume wenzio sio mmoja wa wabakaji so na wewe ubake mtu kama wao?
 
Ndugu wadau wa JF,

mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.

Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia.

Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.

Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.

Hivi matokeo yenye div 0 yameshatoka?
 
Back
Top Bottom