BAHARIA MSAFIRI
Senior Member
- Feb 17, 2016
- 154
- 356
Mwandishi unaongea kwa kujua au unaangalia ratiba kwa mbali. Lissu ametembelea zaidi ya majimbo 50 hadi sasa na next week helicopter inaanza kazi kwa taarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu
Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike
Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli
Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Wewe utakuwa mchaga wa BurundiNipo Kilimanjaro, Magufuli anakubalika huku, nitahifadhi hii comment yangu nitarudi Tena, wachaga Sasa sisi tunamtaka Magu na atashinda lissu. Nadhani Katika sehemu ambayo upinzani wataumia Sana Ni mkoa wa Kilimanjaro, hawatapa Jimbo hata moja. Nani anataka ndugu zao kuenguliwa Katika position kubwa kubwa na kutengwa na raisi, tunajuta yaani
hii ilikuwa strategy asifiwe kura za lisuMagufuli na Membe vipi, Ila najua membe katembelea Jimbo moja Tena Vijiji viwili. Lissu hawezi kushinda anachangamsha uchaguzi tu
Huyu jamaa labda hiyo 17 ni kwa kagera ,Kigoma na geitaHizo tawimu za Chadema umetoa wapi?
Tuanzie hapo kwanza!
Hatarudi tena,maana sasa hivi kila wanapogusa wanapigwa umeme.Mkoa wa Pwani (3)
Kibaha
Bagamoyo
Chalinze
Mkoa morogoro (6)
Mjini
Kusini....
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu...
Kwahiyo mnamkubali Magufuli kwakuwa kawatenga?!Nipo Kilimanjaro, Magufuli anakubalika huku, nitahifadhi hii comment yangu nitarudi Tena, wachaga Sasa sisi tunamtaka Magu na atashinda lissu. Nadhani Katika sehemu ambayo upinzani wataumia Sana Ni mkoa wa Kilimanjaro, hawatapa Jimbo hata moja. Nani anataka ndugu zao kuenguliwa Katika position kubwa kubwa na kutengwa na raisi, tunajuta yaani
Ulitaka azungukie yote ili iweje?
Haya majinga yalidhani yatapita tu bila kupingwa...Huyu jamaa labda hiyo 17 ni kwa kagera ,Kigoma na geita
Ambapo ni 8+7+3=18
Hii speed sio poa hadi magu akaomba likizo...
Nipo Kilimanjaro, Magufuli anakubalika huku, nitahifadhi hii comment yangu nitarudi Tena, wachaga Sasa sisi tunamtaka Magu na atashinda lissu. Nadhani Katika sehemu ambayo upinzani wataumia Sana Ni mkoa wa Kilimanjaro, hawatapa Jimbo hata moja. Nani anataka ndugu zao kuenguliwa Katika position kubwa kubwa na kutengwa na raisi, tunajuta yaani
Bora umewaeleza ukweli ili wajitambue kuwa wanacheza na moto mkali sanaWale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu...
Wewe ni mchaga maskini??Nipo Kilimanjaro, Magufuli anakubalika huku, nitahifadhi hii comment yangu nitarudi Tena, wachaga Sasa sisi tunamtaka Magu na atashinda lissu. Nadhani Katika sehemu ambayo upinzani wataumia Sana Ni mkoa wa Kilimanjaro, hawatapa Jimbo hata moja. Nani anataka ndugu zao kuenguliwa Katika position kubwa kubwa na kutengwa na raisi, tunajuta yaani
1. Kigoma mjiniWale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu
Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike
Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli
Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Mkuu huu Ujumbe hata kwa Mtu Mpumbavu kiasi gani kwa maana yake tu atakuwa ame kuelewa.Kinachofika kila jimbo sio mwili wake bali ni ujumbe wake. Injili imeenea dunia nzima, kwani Yesu alikata kila kijiji cha dunia hii?