Apelekewe bahashaTukiwa hapa Mlimani City Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemtaja Mkurugenzi Mkuu wa Jamii forum Maxence Melo na Mtandao mzima wa Jamii forum katka majumuisho yake kuhusu uandishi wa mitandaoni akiipa kongole Jamii Forum katka usimamizi mzur wa habar za mitandao lakini akaongeza kuwa makini wahariri kuratibu katika kutoa habari a mitandaoni.
Asante Jamii Forum.
Muishe mara ngapi.Max akilegea tu, tumeisha 🤣 chezea asali wewe?
🤣Muishe mara ngapi.
kuna ile bichwa nini sijui nimesahau neno la mwisho!Hakusema anatumia ID ipi? Au ndo ya Lucas?
Tukiwa hapa Mlimani City Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemtaja Mkurugenzi Mkuu wa Jamii forum Maxence Melo na Mtandao mzima wa Jamii forum katka majumuisho yake kuhusu uandishi wa mitandaoni akiipa kongole Jamii Forum katka usimamizi mzur wa habar za mitandao lakini akaongeza kuwa makini wahariri kuratibu katika kutoa habari a mitandaoni.
Asante Jamii Forum.
Max akilegea tu, tumeisha 🤣 chezea asali wewe?
Muishe mara ngapi.
Tangu muda mrefu Sana.Oooh kambi ishavamiwa
Ngoja ajekuna ile bichwa nini sijui nimesahau neno la mwisho!
nani..?Ngoja aje
Ukiwa unashindwa kutofautisha Serikali, Chama na Taifa basi sina budi kukumbusha Vipaumbele vya Lowasa.ukisema Tanzania kwa mabaya kumbuka humsemi Samia bali serkali na wewe unayesoma comment hii
Wewe Jamaa una Akili sana Mkuu. Heko kwa kuwa na Jicho la Mbali.Naona wanazidi kumsogeza karibu ili alegeze kamba 😆😆
Mhh!
Anzeni kuishi kimachale.
Namfahamu vizuri sana Max, sina wasiwasi naye kabisa, issue ni ofisi, kuna wadudu watapandikizwa punde tu.