Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,177
- 1,406
- Thread starter
- #21
Maandiko hudanganya? Kama yanadanganya kwanin tuendelee kuzikubali hizi diniSio kuaminishwa. Sema ulikuwa ukidanganywa. Hiyo ndio lugha sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandiko hudanganya? Kama yanadanganya kwanin tuendelee kuzikubali hizi diniSio kuaminishwa. Sema ulikuwa ukidanganywa. Hiyo ndio lugha sahihi
Hapana, kuna viongozi wengine huchaguliwa na shetani.mfano huyu wasasa amechaguliwa na shetani kabisa. Mungu hawezi tupa kiongozi bomu kiasi hiki.Katika makuzi yangu nlikua nkiaminishwa kua viongozi wa nchi huchaguliwa na Mungu,
Pindi nasoma advance bahati nzuri uchaguzi wa rais, wabunge pamoja na madiwani nlikua kidato cha sita pale shinyanga high school maarufu kama SHY BUSH , nlishiriki kupiga kura lakin majibu yaliyobandikwa ktk kituo nlichopigia kura, hayakushabihiana hata kidogo na matokeo nliyoyayaaikia redioni (jecha style)
Haitoshi; hata siku izi mambo yamegoma kabisa kubadilika, bado kura zinazopigwa haziendani na zile zinazotangazwa, wachungaji hutambua hilo lakin ajabu hawajawahi kuwafukuza sehem za ibada hasa kipindi ha harambee,
Samia
Mwiguru
Kakamba
Nape
Lowasaa nk. Hawa ote ni saham ya mfano kwa MUSSAna wana wa Israel?
Kabla ya kwenda mbali, unaamini Kuna Mungu, yukoje na anafananaje?Kwa nin MUNGU yupo kimya wakati huu mungu anafanya yake
Huwa unaamini hizo dini na hao wazee wa kanisa? Mbona umejiingiza kwenye ujinga wa kujitakia?Wachungaji ndo walinaminisha ivo, walisema "mamlaka zote duniani huwekwa na MUNGU" tena wakasisitiza ni lazima tuheshim mamlaka.
Apo unapaonaje, ukikutana na mzee wa kanisa akakpa hizi story utamwambiaje?
Ww ndio unaziamini, usidhani Kila mtu anaziamini. Toka utumwani ndugu.Maandiko hudanganya? Kama yanadanganya kwanin tuendelee kuzikubali hizi dini
🤣🤣🙌 nmesema ktk makuzi, kabla sijaanza ktumia akili zangu timamuHuwa unaamini hizo dini na hao wazee wa kanisa? Mbona umejiingiza kwenye ujinga wa kujitakia?
Binafsi naamin ktk uwepo wa MUNGU, lakin kwa imani yangu ukiristo na uislam ni upotoshaji,Kabla ya kwenda mbali, unaamini Kuna Mungu, yukoje na anafananaje?
Mamlaka zote zatoka kwa Mungu.Hakika nlipigwa na kitu kizito
Hua anachagua kwa kubet au Mungu huchukulia poa mahitaji ya watu wake, imagine fisadi anaejulikana vema anashika nafasi ya uongozi kwa zaidi ya mihula miwili au mitatu.Mamlaka zote zatoka kwa Mungu.
Hata Pilato na Herode walitoka kwa Mungu. Yesu alimwmabia Pilato pale Praitorio, usiku ule, isingelikuwa baba yangu, usingalikuwa kiongozi.
Hata mfalme Sauli, alichaguliwa na Mungu.
Sio kila anayetoka kwa Mungu basi hutenda yale Mungu anataka, wengine hufanya yao.
Hata Adamu aliumbwa na MUNGU .
Huoni kwamba ndo sababu ya sisi kuchelewa,Ni kweli mkuu,
Mungu ndio huchagua viongozi.
Hata akiwa mbaya ila kuna kusudi la Mungu ambalo anataka litimie.
Sababu za sisi kuchelewa ni mtambuka.Huoni kwamba ndo sababu ya sisi kuchelewa,
ushawahi kufikiri mazingira ambayo viongozi wa kitanzania hupatikana?
Mungu huwa anatumika kama kichaka Cha kufichia maovu ya watawala. Ukianza kuwakosoa watawala hao waovu, utasikia: "Heshimuni mamlaka, maana mamlaka zote hutoka Kwa Mungu. ". (Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. Warumi 13:1)Ni kweli mkuu,
Mungu ndio huchagua viongozi.
Hata akiwa mbaya ila kuna kusudi la Mungu ambalo anataka litimie.
Sababu za sisi kuchelewa ni mtambuka.Huoni kwamba ndo sababu ya sisi kuchelewa,
ushawahi kufikiri mazingira ambayo viongozi wa kitanzania hupatikana?