Katika mazingira haya utafanya nini?

Katika mazingira haya utafanya nini?

Kama unamsema Namba moja hivi maana kuna watu wa akifanya wema wako karibu yake na wanamsifia kila siku akistuka tu ameisha
Mkuu uko vizuri kwenye kutafakari sentensi za kawaida kuwa maana halisia iliyojificha, kongole kwako
 
Subutuu huyo anajua wewe ukiamka lazima uma tie Ndio akushighulikie,

Hapo unapiga yowe anakimbia kwa wenge na wewe unasepa zako
Ha haha
kweli kila mtu na akili zake
yani dude kama hilo likuache ukiwa unakoroma
halafu uamke kwa kupiga mwano
et ulipe wenge likimbie?!

labda uamke unyate..ukimbie!
 
Ha haha
kweli kila mtu na akili zake
yani dude kama hilo likuache ukiwa unakoroma
halafu uamke kwa kupiga mwano
et ulipe wenge likimbie?!

labda uamke unyate..ukimbie!
Baba huyo kaweka mtego,anakusubiria uamke Ndio umstue akule,Unanyataje na amekulalia mkono,unamzibua kibao hapo anakimbia na wenge na wewe unamuungia kumkimbiza,atajua hili shetani Au Nini😂😂🏃🏿
 
Katika msitu mnene, ulikuwa ukikusanya miti kwa ajili ya kujenga makazi yako. Jua lilikuwa linachoma kwa nguvu, na baada ya siku ndefu ya kazi, mwili wako ulianza kuchoka. Ukajikunyata chini ya mti mkubwa na kusingizia kidogo kabla ya kuzama kwenye usingizi mzito.
View attachment 3253472

Ulipoamka, ulijikuta upo peke yako, huku jua likionekana kuanza kuzama. Ulipotazama pembeni yako, macho yako yalikutana na maajabu – kulikuwa na chui mmoja aliyejilaza karibu nawe, akiwa amelala pia.

Je utajinasua vipi kutoka kwenye hii changamoto, utaendelea kuuchapa usingizi, ama utaamka na kukimbia?
OK. 1. Kwa kuzingatia kwamba Kila mmoja aliyepo hapo kaja /kafika hapo kwa wakati wake na kivyake. Kwa hiyo ni busara kila mmoja aondoke kwa wakati wake. Aliyetangulia hapo inafaa atangulie pia kuondoka kivyake. Usivuruge Amani uliyoikuta iko baina yenu ulipozinduka usingizini.
2. Kwa Mkristo, esp.Wakatoliki; unashusha pumzi kidogo (take a bit of a Sigh) halafu unapiga ishara ya msalaba kisha unasema: Utubariki Mungu wetu sisi na Chakula hiki ulichotupa kwa huruma na upendo wako ili tukile tupate afya na nguvu ya kukutumikia vema- Amina. Kwa Mwislamu ni rahisi zaidi kwani yy atasema tu: Bismillah. Hapo hakuna cha eti Takbiiir-Allahu akbar. Usijaribu hiyo.
3. Huyo mtu anaweza kudhuriwa au kupewa adhabu ya kuliwa kwa kumvurugia huyo mwamba starehe yake ya usingizi. Si mnajua wanyama aina ya paka hupenda sana kulala mahali penye kajoto fulani amazing na ulaini kidogo e.g. sofa/kochi? Kwa hiyo huyo binadamu asubiri ajikaushe hivyo hadi chui aamke i.e. Usingizi wake uishe na akiondoka kuendelea na mishe zake ndipo binadamu naye aamke na aendelee na mishe zake.
4. Chui kama ameshiba na hana watoto atakuwa hana / hakuna sababu ya kukushambulia. Take ur time sepa ila usikurupuke au kumshtua chui. Ili usimshtue ;Fanya hiv: Vua nguo zako zote taratibu halafu umwachie amezilalia we uondoke zako. Very simple etiee. Nguo nyingine utazikuta mbele ya safari bro.
5. (Hii ni Mujarabu sana). 'Kata gogo" la Uhakika, kisha jipake mwili wote na ujindokee kiulaiiin. Wanyama wote jamii ya paka hawalagi kitu kichafu tena chenye harufu tofauti na uzoefu wao. i.e. ww ni najisi kwao-hawakugusi wasije wakanajisika.
 
Baba huyo kaweka mtego,anakusubiria uamke Ndio umstue akule,Unanyataje na amekulalia mkono,unamzibua kibao hapo anakimbia na wenge na wewe unamuungia kumkimbiza,atajua hili shetani Au Nini😂😂🏃🏿
Weweee! Unaanzisha valangati? Hujui hapo ni lazima atajitetea? -acha hiyo. Jaribu njia nyengine. Eti unamzibua kibao.!? Una upata wapi ujasiri huo broo?
 
OK. 1. Kwa kuzingatia kwamba Kila mmoja aliyepo hapo kaja /kafika hapo kwa wakati wake na kivyake. Kwa hiyo ni busara kila mmoja aondoke kwa wakati wake. Aliyetangulia hapo inafaa atangulie pia kuondoka kivyake. Usivuruge Amani uliyoikuta iko baina yenu ulipozinduka usingizini.
2. Kwa Mkristo, esp.Wakatoliki; unashusha pumzi kidogo (take a bit of a Sigh) halafu unapiga ishara ya msalaba kisha unasema: Utubariki Mungu wetu sisi na Chakula hiki ulichotupa kwa huruma na upendo wako ili tukile tupate afya na nguvu ya kukutumikia vema- Amina. Kwa Mwislamu ni rahisi zaidi kwani yy atasema tu: Bismillah. Hapo hakuna cha eti Takbiiir-Allahu akbar. Usijaribu hiyo.
3. Huyo mtu anaweza kudhuriwa au kupewa adhabu ya kuliwa kwa kumvurugia huyo mwamba starehe yake ya usingizi. Si mnajua wanyama aina ya paka hupenda sana kulala mahali penye kajoto fulani amazing na ulaini kidogo e.g. sofa/kochi? Kwa hiyo huyo binadamu asubiri ajikaushe hivyo hadi chui aamke i.e. Usingizi wake uishe na akiondoka kuendelea na mishe zake ndipo binadamu naye aamke na aendelee na mishe zake.
4. Chui kama ameshiba na hana watoto atakuwa hana / hakuna sababu ya kukushambulia. Take ur time sepa ila usikurupuke au kumshtua chui. Ili usimshtue ;Fanya hiv: Vua nguo zako zote taratibu halafu umwachie amezilalia we uondoke zako. Very simple etiee. Nguo nyingine utazikuta mbele ya safari bro.
5. (Hii ni Mujarabu sana). 'Kata gogo" la Uhakika, kisha jipake mwili wote na ujindokee kiulaiiin. Wanyama wote jamii ya paka hawalagi kitu kichafu tena chenye harufu tofauti na uzoefu wao. i.e. ww ni najisi kwao-hawakugusi wasije wakanajisika.
Nimecheka sana
 
Weweee! Unaanzisha valangati? Hujui hapo ni lazima atajitetea? -acha hiyo. Jaribu njia nyengine. Eti unamzibua kibao.!? Una upata wapi ujasiri huo broo?
Fujo huyo si ndo anapenda!
 
Weweee! Unaanzisha valangati? Hujui hapo ni lazima atajitetea? -acha hiyo. Jaribu njia nyengine. Eti unamzibua kibao.!? Una upata wapi ujasiri huo broo?
Ukimzibua kibao anapata wenge nakuambia,sasa unamuamshaje hapo na kakulalia mkono,utamwambia chui amka niondoke😂.
Atakimbia tu hapo ukimzibua afu unamuungia kwa speed zote. Akija kustuka we haupo.
 
Kama unamsema Namba moja hivi! maana kuna watu wanajifanya wema wako karibu yake na wanamsifia kila siku akistuka tu ameisha
Nyumbu mpo tabuni aisee!! Mbona mumeo anakurudishia maua na kukuwao Kila siku lkn tunajua kuwa anatoka na Kapeace? Uzuri mmoya (in bakongo's voice), mabaya ukiyawaza na kutamani saaaana yatokee kwa mwenzio bs Mungu (alivyo mkuu) anayarudisha kwako mwenyewe
 
Back
Top Bottom