Katika mazingira haya utafanya nini?

Katika mazingira haya utafanya nini?

Maelezo ya swali hayajakamilika bado, hiyo ni ndoto umeota au ni movie? Kumbuka huyo ni duma (cheetah) na siyo chui wa kawaida (Leopard)

Hilo ni moja lakini la pili ni je kukimbia huko kutachukua umbali gani kufika sehemu salama maana duma hapo ukikurupuka lazima ataduwaa na kukukimbia kidogo lakini akili ikimkaa sawa na wewe uhakikishe umeshafika sehemu salama (kwenye gari, ndani ya nyumba, kwenye watu wengi nk) maana akisema akuunganishie hata uwe ulimwacha umbali wa 1km ni chapu tu atakufikia
 
Hawezi kushtuka usingizini na kuanza kukufukuza. Lazima atabakia kwenye hali mshangao, wakati unazidi kutimua mbio.
Umechanganywa na sentensi "chui kalala pembeni yako"

Tunaposema mnyama kalala pembeni ya... haimaanishi kusinzia (sleep) bali inamaanisha kujilaza (lie/recline). Mambo ya lugha hayo
 
Maelezo ya swali hayajakamilika bado, hiyo ni ndoto umeota au ni movie? Kumbuka huyo ni duma (cheetah) na siyo chui wa kawaida (Leopard)

Hilo ni moja lakini la pili ni je kukimbia huko kutachukua umbali gani kufika sehemu salama maana duma hapo ukikurupuka lazima ataduwaa na kukukimbia kidogo lakini akili ikimkaa sawa na wewe uhakikishe umeshafika sehemu salama (kwenye gari, ndani ya nyumba, kwenye watu wengi nk) maana akisema akuunganishie hata uwe ulimwacha umbali wa 1km ni chapu tu atakufikia
Kabsa
 
Umechanganywa na sentensi "chui kalala pembeni yako"

Tunaposema mnyama kalala pembeni ya... haimaanishi kusinzia (sleep) bali inamaanisha kujilaza (lie/recline). Mambo ya lugha hayo
Mambo ya lugha
 
Umechanganywa na sentensi "chui kalala pembeni yako"

Tunaposema mnyama kalala pembeni ya... haimaanishi kusinzia (sleep) bali inamaanisha kujilaza (lie/recline). Mambo ya lugha hayo
Hata mimi ninafahamu. Na ndiyo maana nimejibu kwa namna hiyo. Unapozungukwa na maadui, njia bora ni ile ya kuwakimbia/kujitenga nao. Na siyo kulala nao kama huyo jamaa na chui.
 
Hata mimi ninafahamu. Na ndiyo maana nimejibu kwa namna hiyo. Unapozungukwa na maadui, njia bora ni ile ya kuwakimbia/kujitenga nao. Na siyo kulala nao kama huyo jamaa na chui.
Ukikohoa tu umeisha
 
Back
Top Bottom