OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa uchache saana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamuView attachment 2285701
Kwa uchache saana
Polepole ndugu.Ukasirikaji ni wa malaika mtoa roho.Weye yakupatani?Sijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamu
Kampeni mzeeYanga sijui wamewaza nini??!!!
Hersi katupiga mkimbizi wa kihutu anaongea kiswahiliSijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamu
dalali kaze kaziniHersi katupiga mkimbizi wa kihutu anaongea kiswahili
punguza hasira Uto,soka halihitaji hasira utabastSijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamu
Huyo sio mchezaji wa kufunga ni mchezaji wa kukabaView attachment 2285701
Kwa uchache saana
Trent wa liver nafasi yake uwanjani ni ipi na ana magoli mangapi?Sijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamu
Eti biringanyaView attachment 2285701
Kwa uchache saana
Mwambie mheshimiwa hakimu kama mido bamia lina assists 00 mechi 32 🤣🤣🤣🤣Sijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamu
Njoo na takwimu za takles alizofanya, blocks alizofanya, uwezo wake wa kuzuia mashambulizi ukoje, tunaweza kukuelewa kwa hilo na sio kurukia vitu usivyovijua ukiwa na lengo la kupotosha watu hapa, unataka magoli umeambiwa uyo ni mayele au makambo muda wote yuko kwenye eneo la ushambuliaji la timu pinzani? Tatizo lenu nyie makolo yule rage kuwaita mbumbumbu kuna kitu alikiona kwasababu mambo mengine sio mpaka utumie akili kubwa kuyafahamuMwambie mheshimiwa hakimu kama mido bamia lina assists 00 mechi 32 🤣🤣🤣🤣