Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataipita wakiwa na fimbo nyeupe hii commentHizo hapo ni statistics za Javier Maschrano moja ya DM wakali kuwahi kutokea lakini ana goli mbili kwenye career yake yote je huyu jamaa unaweza sema alikua mbovu?View attachment 2285964
Hata mpira wa kumgonga kisogoni tu kwa kipa kukosea nalo hamna? Mbona Djuma ana magoli 3 na ni beki?Huyo sio mchezaji wa kufunga ni mchezaji wa kukaba
Mascherano ana goli ngapi career yake yoteHata mpira wa kumgonga kisogoni tu kwa kipa kukosea nalo hamna? Mbona Djuma ana magoli 3 na ni beki?
Hakina Lwanga , Mkude , kanoute , Fraga n.k wanafunga magoli kwani wao siyo viungo wakabaji?
Nilijibu kutokana na comment ya jamaaKwa hiyo kila mchezaji anatakiwa awe kama huyo Trent wako wa liver! Acheni kujifedhehesha bhana.
[emoji38][emoji38][emoji38]Afu la penati
Huyo kazi yake haikuwa kufunga.View attachment 2285701
Kwa uchache saana
Haya ni mafanikio makubwa mno kwenye soka letu.mikaa 28 kijana kukaa ulaya kwenye hali nzuri kifedha hapendi,anaona bora kuja mashariki mwa africa ndipo anapoona kuna hali nzuri kifedha kuliko uko ulaya alikokuwa anacheza......Pogba anamiaka 29 bado anakaza tu kuzunguka vilabu vya ulaya ila mburundi uyo karidhika kweli kuja kwetu Tanzania
Vipi Shomari kapombe, Farid Mussa, Haruna Moshi, Dennis Oliechi too many to mentionmikaa 28 kijana kukaa ulaya kwenye hali nzuri kifedha hapendi,anaona bora kuja mashariki mwa africa ndipo anapoona kuna hali nzuri kifedha kuliko uko ulaya alikokuwa anacheza......Pogba anamiaka 29 bado anakaza tu kuzunguka vilabu vya ulaya ila mburundi uyo karidhika kweli kuja kwetu Tanzania
hao hawakuwahi kuchezea ligi kuu ya Eng,kama vitimu vidogo vidogo ulaya sawa lakini sio kwa Newcastle ilivyo timu kubwaVipi Shomari kapombe, Farid Mussa, Haruna Moshi, Dennis Oliechi too many to mention
achilia mbali kufunga ,hata assits ?Njoo na takwimu za takles alizofanya, blocks alizofanya, uwezo wake wa kuzuia mashambulizi ukoje, tunaweza kukuelewa kwa hilo na sio kurukia vitu usivyovijua ukiwa na lengo la kupotosha watu hapa, unataka magoli umeambiwa uyo ni mayele au makambo muda wote yuko kwenye eneo la ushambuliaji la timu pinzani? Tatizo lenu nyie makolo yule rage kuwaita mbumbumbu kuna kitu alikiona kwasababu mambo mengine sio mpaka utumie akili kubwa kuyafahamu
Mzamiru, Mkude Na Kanoute Wana Assist Ngapi?achilia mbali kufunga ,hata assits ?
ila hawajacheza ulayaMzamiru, Mkude Na Kanoute Wana Assist Ngapi?
Mm sihangaiki tena na watu wasiojua wanataka nini. Hata hiyo DM uliyoandika labda hajui unamaanisha nini!Hizo hapo ni statistics za Javier Maschrano moja ya DM wakali kuwahi kutokea lakini ana goli mbili kwenye career yake yote je huyu jamaa unaweza sema alikua mbovu?View attachment 2285964
Afadhali wewe umeonesha uwezo wako wa kifikiri unapokomea. Nzuri Sana hii.Mchezaji gani wa EPL anaongea kiswahili cha manzese