Katika michezo 32 aliyocheza Bigirimana akiwa Newcastle alifunga goli 1

Katika michezo 32 aliyocheza Bigirimana akiwa Newcastle alifunga goli 1

Trent wa liver nafasi yake uwanjani ni ipi na ana magoli mangapi?
Inategemea kocha amempangia majukumu gani uwanjani na anataka acheze vipi kulingana na mifumo yake na timu anayocheza nayo, jukumu mama la kiungo mkabaji ni kukaba na kuwapunguzia kazi mabeki, ndo maana timu inapokosa kiungo mkabaji aliyekamilika safu yake ya ulinzi inakuwaga uchochoro, jukumu la kufunga iyo ni ziada na wala awezi kuulizwa kuwa kwanini ujafunga ilimradi kazi yake kule nyuma ameifanya kwa ubora wake
 
Sijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamu
Kuambiwa ukweli ndio unarusha ngumi!
 
Kuchambua soka hamuwezi endeleeni na draft.
Hivi Yanga wamemsajili Bigirimana kama Striker?
Ni lini Yanga wamesema wana tatizo la Striker?
Wasiojua wenzio wanamlinganisha Bigirimana na Habib Kiyombo, mbona hamlinganishi mabao ya Medy Kagere na Mwamnyeto? Hizi habari mnazodhani ni Faraja kwa wapenzi wa Simba zinawashusha hadhi tu tofauti na heshima mliyojijengea humu.
Namsihi Gentamycine aachane na utoto kama huu maana yeye akili yake kisoka imepevuka kuliko nyie.
Mimi si shabiki wa Yanga, na hata Jana nimemkosoa shabiki wenu aliyemponda Habib kumbe hata hajawahi kumuona hata mechi moja. Ushabiki wa kuanzisha threads za kuponda wachezaji kwa mlinganisho usioendana zinaonesha uwezo wenu mdogo ni bora mngekaa kimya.
 
Umempeleka mbali sana, muulize tu Feisal wao anacheza nafasi gani na ana magoli mangapi?
Acha ujinga wewe tokea msimu huu uanze Feisal asilimia 95 ya mechi amecheza Kama namba 10, mechi chache Sana kacheza Kama namba 6 na iyo ni Kama bangala na mauya awapo au wamepata dharura, kwaiyo tafuta reference nyingine na sio iyo, alafu aliyekwambia yanga imemsajili bigirimana kama mfungaji ni nani? Yule ni kiungo mkabaji habari za kufunga wapo wanaofanya iyo kazi akifunga sawa na asipofunga sio jukumu lake ilo sisi tunachotaka kuona ni anayafanya vipi majukumu yake kwrnye eneo la ulinzi baaasi ayo mengine ni ya kwenu
 
Utopolo wamepata mbadala sahihi wa Surpong
Kweli Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu! Kwani Yannick Bangala, Khalid Aucho au Sure Boy wana/wamechangia magoli mangapi msimu huu?

Vipi shughuli yao ilivyokuwa pale katikati? Kuna mchezaji wenu hata mmoja aliweza kumiliki kiungo katika mechi zote mlizocheza nao?


Yaani mchezaji ni kiungo mkabaji na pia mchezeshaji, ila wewe umeamua kumlinganisha na mshambuliaji! Kazi kweli kweli.
 
Acha ujinga wewe tokea msimu huu uanze Feisal asilimia 95 ya mechi amecheza Kama namba 10, mechi chache Sana kacheza Kama namba 6 na iyo ni Kama bangala na mauya awapo au wamepata dharura, kwaiyo tafuta reference nyingine na sio iyo, alafu aliyekwambia yanga imemsajili bigirimana kama mfungaji ni nani? Yule ni kiungo mkabaji habari za kufunga wapo wanaofanya iyo kazi akifunga sawa na asipofunga sio jukumu lake ilo sisi tunachotaka kuona ni anayafanya vipi majukumu yake kwrnye eneo la ulinzi baaasi ayo mengine ni ya kwenu
Hawa watani wetu kiukweli wanastahili kabisa kuitwa mbumbumbu. Yaani wao ni kukurupuka kwa kwenda mbele. Halafu ubishi na ujuaji ndiyo jadi yao.
 
Obi Mikel pale Chelsea aliivyo fungal bao lake la kwanza/la pili alisifiwa sana na vyombo vya habari na alifurahi mno. Akawa anahojiwa lile bao alifungaje? Alijibu hata hajui alifungaje, akasema alifumba macho na alivyofumbua alikuta mpira upo wavuni. Kuna wachezaji (wazuri tu) kufunga magoli kwao ni mwujiza
 
Hizo hapo ni statistics za Javier Maschrano moja ya DM wakali kuwahi kutokea lakini ana goli mbili kwenye career yake yote je huyu jamaa unaweza sema alikua mbovu?
IMG_20220710_090456.jpg
 
Back
Top Bottom