Katika michezo 32 aliyocheza Bigirimana akiwa Newcastle alifunga goli 1

Katika michezo 32 aliyocheza Bigirimana akiwa Newcastle alifunga goli 1

mikaa 28 kijana kukaa ulaya kwenye hali nzuri kifedha hapendi,anaona bora kuja mashariki mwa africa ndipo anapoona kuna hali nzuri kifedha kuliko uko ulaya alikokuwa anacheza......Pogba anamiaka 29 bado anakaza tu kuzunguka vilabu vya ulaya ila mburundi uyo karidhika kweli kuja kwetu Tanzania
Pogba kwao ni Ulaya au unjisahaulisha? Unadhani akiamua kurudi nyumbani Pogba atarudi Afrika? Kwao ni Ufaransa na hata hafikirii huku Swekeni.
 
Sijawai kuona tahahira na pimbi kama wewe, unahoji magoli aliyofunga bigirimana niambie anacheza namba ngapi uwanjani? Nini kazi halisi ya kiungo mkabaji? Majukumu yake ni yapi? Unaporopoka Kama umekatika kichwa uwe unatafakari kwanza unachoongea mbele ya watu wenye akili timamu
Makolo Mbumbumbu,hawajawahi kuwa na akili.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hii Biringanya utopolo wanampiga make up sana ila takwimu zake ni miyeyusho, kaze anawasomba warundi wenzie waje wale pesa za magodoro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom