Yani lolote litakalofanyika kuzuia hivi vyombo vya habari vya kienyeji kama vile magazeti, TV, radio katika kipind hiki cha uchaguzi ni sawasawa na bure kwani kutokana na mageuzi ya sayansi na tekinolojia zinajulikana kama traditional media haitasaidia.
Social media zina nguvu kuliko hizi traditional media, mambo mengi sana kwa sasa yanatolewa na social media kwa sababu zipo haraka sana, zinamfikia mtu popote alipo bila kujali muda, zinashirikisha mtu yaani mtu akitumiwa naye anaweza akasambaza, zinatoa uhalisia wa jambo bila kuhariri.
Matukio mengi kwa sasa duniani yanatolewa na social media kwa mfano kitendo cha George Floyd kubanwa mpaka kufa ushaidi halisi ulitolewa na social media yaani simu zilizokuwa zinarekodi wakati wa tukio zikarusha tu, mlipuko wa Lebanon -Beirut kabla ya magazeti, radio au tv kutoa tayari social meda ikarusha tena wakati wa mlipuko mdogo tu kuanza.
Yapo mengi, matukio mengi yanaletwa kwa jamii kupitia social media.
Sasa nitoe angalizo tu kwa hizi mamlaka za mawasiliano TCRA, Habari Maelezo, na vyombo vingine kuwa ni ngumu sana kuzuia mambo ya habari, dunia ya leo ni kijiji na ipo kiganjani siku hizi hata mtoto wa miaka mitano anajua kutumia social media, utakaposema nazuia habari ni sawa na kuzuia mafuriko ya maji kwa mkono.
Tuache jamii ipate habari kama dunia inavyotaka.
Social media zina nguvu kuliko hizi traditional media, mambo mengi sana kwa sasa yanatolewa na social media kwa sababu zipo haraka sana, zinamfikia mtu popote alipo bila kujali muda, zinashirikisha mtu yaani mtu akitumiwa naye anaweza akasambaza, zinatoa uhalisia wa jambo bila kuhariri.
Matukio mengi kwa sasa duniani yanatolewa na social media kwa mfano kitendo cha George Floyd kubanwa mpaka kufa ushaidi halisi ulitolewa na social media yaani simu zilizokuwa zinarekodi wakati wa tukio zikarusha tu, mlipuko wa Lebanon -Beirut kabla ya magazeti, radio au tv kutoa tayari social meda ikarusha tena wakati wa mlipuko mdogo tu kuanza.
Yapo mengi, matukio mengi yanaletwa kwa jamii kupitia social media.
Sasa nitoe angalizo tu kwa hizi mamlaka za mawasiliano TCRA, Habari Maelezo, na vyombo vingine kuwa ni ngumu sana kuzuia mambo ya habari, dunia ya leo ni kijiji na ipo kiganjani siku hizi hata mtoto wa miaka mitano anajua kutumia social media, utakaposema nazuia habari ni sawa na kuzuia mafuriko ya maji kwa mkono.
Tuache jamii ipate habari kama dunia inavyotaka.