Katika nchi za East Africa hakuna nchi inayopitia kipindi kigumu kama Tanzania. Yanayoendelea Kenya ni tabia tu.....

Katika nchi za East Africa hakuna nchi inayopitia kipindi kigumu kama Tanzania. Yanayoendelea Kenya ni tabia tu.....

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
393
Reaction score
615
Ugweee..nimekosa salam ya haraka kuwasabahi ndg zangu.

Hawa Z Generation nchini Kenya ni muenendo na miendelezo ya tabia ya wananchi waliosomeshwa na serikali zao za nyuma...hapa namzungumzia Moi na wengine waliofanya vema.

Kinachoendelea nchini Kenya ni sahihi na haki kabisa. Hapa Tanzania hali ni mbaya kuliko nchi zote za Africa mashariki hasa katika kipindi hiki cha awamu ya 6. Sijawahi kumkubali mwigulu. Sijui nani aliyemshauri Mama yet kipenzi Dr Suluhu Hassan, Samia.

Kwanza.
Tozo...simu zetu na vocha ya 500 inakatwa.

Nyumba zetu bill za umeme zinakatwa 1500 miezi 12 sawa na 12,000 kila mwaka.

Tunakatwa kwenye mambo mengi sana. Mwigulu kama mchumi kwa nn anachukua hizi fedha kwa.maskini.

Cha ajabu Mh Rais hana washauri mahiri kwamba Mchemba anakosea. Ninakumbuka aliyemshauri ongezeko la mshahara kwa mtumishi 23% wale kwa kima cha chini. Kima cha kati je walipata nini. Mtumishi hapa ndiye ataelewa. Mwaka mmoja baadae wakaweka ongezeko kwenye posho..hiki kitu walimdanganya mh Rais...nurse hanufaiki na posho hizo, mwl wa darasani hapati kitu hapo kwa sababu hana safari yoyote ya posho...

Hapa Tanzania inatakiwa T generation. Hawa viongozi sio waaminifu kabisa. Hakuna uwiano sawia katika utumishi. Mtumishi wa government agencies wanafaidi sana.

Ukiwa tartrate,tanesco,dawasco,tra,tpa nk unapata nundu. Ukiwa daktari Tanzania unajuta,ukiwa mwalimu unajuta,ukiwa politics utaishia mshukiwa akiingia kutoka pesa, ukiwa traffic unaishia kula mabao...

Jamani kwa nini wananchi sisi Wapole tunafinywa. Tanzania inatabia ya kutumia udhaifu huu ili viongozi walilimbikie Mali.

Wanachofanya vijana wa Kikwenya ni tabia ambayo kuna watu hawapendagi ujinga
Hii inamwisho wake
 
Ugweee..nimekosa salam ya haraka kuwasabahi ndg zangu.

Hawa Z Generation nchini Kenya ni muenendo na miendelezo ya tabia ya wananchi waliosomeshwa na serikali zao za nyuma...hapa namzungumzia Moi na wengine waliofanya vema.

Kinachoendelea nchini Kenya ni sahihi na haki kabisa. Hapa Tanzania hali ni mbaya kuliko nchi zote za Africa mashariki hasa katika kipindi hiki cha awamu ya 6. Sijawahi kumkubali mwigulu. Sijui nani aliyemshauri Mama yet kipenzi Dr Suluhu Hassan, Samia.

Kwanza.
Tozo...simu zetu na vocha ya 500 inakatwa.

Nyumba zetu bill za umeme zinakatwa 1500 miezi 12 sawa na 12,000 kila mwaka.

Tunakatwa kwenye mambo mengi sana. Mwigulu kama mchumi kwa nn anachukua hizi fedha kwa.maskini.

Cha ajabu Mh Rais hana washauri mahiri kwamba Mchemba anakosea. Ninakumbuka aliyemshauri ongezeko la mshahara kwa mtumishi 23% wale kwa kima cha chini. Kima cha kati je walipata nini. Mtumishi hapa ndiye ataelewa. Mwaka mmoja baadae wakaweka ongezeko kwenye posho..hiki kitu walimdanganya mh Rais...nurse hanufaiki na posho hizo, mwl wa darasani hapati kitu hapo kwa sababu hana safari yoyote ya posho...

Hapa Tanzania inatakiwa T generation. Hawa viongozi sio waaminifu kabisa. Hakuna uwiano sawia katika utumishi. Mtumishi wa government agencies wanafaidi sana.

Ukiwa tartrate,tanesco,dawasco,tra,tpa nk unapata nundu. Ukiwa daktari Tanzania unajuta,ukiwa mwalimu unajuta,ukiwa politics utaishia mshukiwa akiingia kutoka pesa, ukiwa traffic unaishia kula mabao...

Jamani kwa nini wananchi sisi Wapole tunafinywa. Tanzania inatabia ya kutumia udhaifu huu ili viongozi walilimbikie Mali.

Wanachofanya vijana wa Kikwenya ni tabia ambayo kuna watu hawapendagi ujinga
Hii inamwisho wake
Subiri machawa waje wakuambie kwamba mama unaupiga mwingi.....
 
Ugweee..nimekosa salam ya haraka kuwasabahi ndg zangu.

Hawa Z Generation nchini Kenya ni muenendo na miendelezo ya tabia ya wananchi waliosomeshwa na serikali zao za nyuma...hapa namzungumzia Moi na wengine waliofanya vema.

Kinachoendelea nchini Kenya ni sahihi na haki kabisa. Hapa Tanzania hali ni mbaya kuliko nchi zote za Africa mashariki hasa katika kipindi hiki cha awamu ya 6. Sijawahi kumkubali mwigulu. Sijui nani aliyemshauri Mama yet kipenzi Dr Suluhu Hassan, Samia.

Kwanza.
Tozo...simu zetu na vocha ya 500 inakatwa.

Nyumba zetu bill za umeme zinakatwa 1500 miezi 12 sawa na 12,000 kila mwaka.

Tunakatwa kwenye mambo mengi sana. Mwigulu kama mchumi kwa nn anachukua hizi fedha kwa.maskini.

Cha ajabu Mh Rais hana washauri mahiri kwamba Mchemba anakosea. Ninakumbuka aliyemshauri ongezeko la mshahara kwa mtumishi 23% wale kwa kima cha chini. Kima cha kati je walipata nini. Mtumishi hapa ndiye ataelewa. Mwaka mmoja baadae wakaweka ongezeko kwenye posho..hiki kitu walimdanganya mh Rais...nurse hanufaiki na posho hizo, mwl wa darasani hapati kitu hapo kwa sababu hana safari yoyote ya posho...

Hapa Tanzania inatakiwa T generation. Hawa viongozi sio waaminifu kabisa. Hakuna uwiano sawia katika utumishi. Mtumishi wa government agencies wanafaidi sana.

Ukiwa tartrate,tanesco,dawasco,tra,tpa nk unapata nundu. Ukiwa daktari Tanzania unajuta,ukiwa mwalimu unajuta,ukiwa politics utaishia mshukiwa akiingia kutoka pesa, ukiwa traffic unaishia kula mabao...

Jamani kwa nini wananchi sisi Wapole tunafinywa. Tanzania inatabia ya kutumia udhaifu huu ili viongozi walilimbikie Mali.

Wanachofanya vijana wa Kikwenya ni tabia ambayo kuna watu hawapendagi ujinga
Hii inamwisho wake
Miezi 12 Kwa 1500 kila mwezi ni 18,000 na siyo 12,000
 
I was not yet born when Europeans ruled over our land,but I sincerely believe every section of life would have been better if the white man was still here.
The end of colonialism in Africa should have been 2100 or further.
 
Ugweee..nimekosa salam ya haraka kuwasabahi ndg zangu.

Hawa Z Generation nchini Kenya ni muenendo na miendelezo ya tabia ya wananchi waliosomeshwa na serikali zao za nyuma...hapa namzungumzia Moi na wengine waliofanya vema.

Kinachoendelea nchini Kenya ni sahihi na haki kabisa. Hapa Tanzania hali ni mbaya kuliko nchi zote za Africa mashariki hasa katika kipindi hiki cha awamu ya 6. Sijawahi kumkubali mwigulu. Sijui nani aliyemshauri Mama yet kipenzi Dr Suluhu Hassan, Samia.

Kwanza.
Tozo...simu zetu na vocha ya 500 inakatwa.

Nyumba zetu bill za umeme zinakatwa 1500 miezi 12 sawa na 12,000 kila mwaka.

Tunakatwa kwenye mambo mengi sana. Mwigulu kama mchumi kwa nn anachukua hizi fedha kwa.maskini.

Cha ajabu Mh Rais hana washauri mahiri kwamba Mchemba anakosea. Ninakumbuka aliyemshauri ongezeko la mshahara kwa mtumishi 23% wale kwa kima cha chini. Kima cha kati je walipata nini. Mtumishi hapa ndiye ataelewa. Mwaka mmoja baadae wakaweka ongezeko kwenye posho..hiki kitu walimdanganya mh Rais...nurse hanufaiki na posho hizo, mwl wa darasani hapati kitu hapo kwa sababu hana safari yoyote ya posho...

Hapa Tanzania inatakiwa T generation. Hawa viongozi sio waaminifu kabisa. Hakuna uwiano sawia katika utumishi. Mtumishi wa government agencies wanafaidi sana.

Ukiwa tartrate,tanesco,dawasco,tra,tpa nk unapata nundu. Ukiwa daktari Tanzania unajuta,ukiwa mwalimu unajuta,ukiwa politics utaishia mshukiwa akiingia kutoka pesa, ukiwa traffic unaishia kula mabao...

Jamani kwa nini wananchi sisi Wapole tunafinywa. Tanzania inatabia ya kutumia udhaifu huu ili viongozi walilimbikie Mali.

Wanachofanya vijana wa Kikwenya ni tabia ambayo kuna watu hawapendagi ujinga
Hii inamwisho wake
Viongozi wanaishi kifahari sana
 
I was not yet born when Europeans ruled over our land,but I sincerely believe every section of life would have been better if the white man was still here.
The end of colonialism in Africa should have been 2100 or further.
Though we're now being colonized by entrusted people through ostracism and human herding, thus will remain like this
 
Ugweee..nimekosa salam ya haraka kuwasabahi ndg zangu.

Hawa Z Generation nchini Kenya ni muenendo na miendelezo ya tabia ya wananchi waliosomeshwa na serikali zao za nyuma...hapa namzungumzia Moi na wengine waliofanya vema.

Kinachoendelea nchini Kenya ni sahihi na haki kabisa. Hapa Tanzania hali ni mbaya kuliko nchi zote za Africa mashariki hasa katika kipindi hiki cha awamu ya 6. Sijawahi kumkubali mwigulu. Sijui nani aliyemshauri Mama yet kipenzi Dr Suluhu Hassan, Samia.

Kwanza.
Tozo...simu zetu na vocha ya 500 inakatwa.

Nyumba zetu bill za umeme zinakatwa 1500 miezi 12 sawa na 12,000 kila mwaka.

Tunakatwa kwenye mambo mengi sana. Mwigulu kama mchumi kwa nn anachukua hizi fedha kwa.maskini.

Cha ajabu Mh Rais hana washauri mahiri kwamba Mchemba anakosea. Ninakumbuka aliyemshauri ongezeko la mshahara kwa mtumishi 23% wale kwa kima cha chini. Kima cha kati je walipata nini. Mtumishi hapa ndiye ataelewa. Mwaka mmoja baadae wakaweka ongezeko kwenye posho..hiki kitu walimdanganya mh Rais...nurse hanufaiki na posho hizo, mwl wa darasani hapati kitu hapo kwa sababu hana safari yoyote ya posho...

Hapa Tanzania inatakiwa T generation. Hawa viongozi sio waaminifu kabisa. Hakuna uwiano sawia katika utumishi. Mtumishi wa government agencies wanafaidi sana.

Ukiwa tartrate,tanesco,dawasco,tra,tpa nk unapata nundu. Ukiwa daktari Tanzania unajuta,ukiwa mwalimu unajuta,ukiwa politics utaishia mshukiwa akiingia kutoka pesa, ukiwa traffic unaishia kula mabao...

Jamani kwa nini wananchi sisi Wapole tunafinywa. Tanzania inatabia ya kutumia udhaifu huu ili viongozi walilimbikie Mali.

Wanachofanya vijana wa Kikwenya ni tabia ambayo kuna watu hawapendagi ujinga
Hii inamwisho wake
Bila shaka ulimaanisha ukiwa polisi

Hizi simu zetu ukiandika Tanga inakuletea Yanga..hovyo kabisa..
 
Kenyatta senior si alisema sisi watanzania maiti sasa nyinyi elewananeni huko wenyewe. Sisi tupo nyonyo na mama titi
 
Viongozi wametengeneza kamfumo ka kufanya wananchi wasifatilie sana siasa labda hadi wakati wa uchaguzi, hata huo wakati wa uchaguzi wabase na chama tawala tuu.

Lakini pia elimu finyu kwa wananchi wengi, hebu fikiria hii elimu ya mkoloni tunayopata wachache, ndo hii walau inasaidia kuelewa kirahisi mambo mauvu machache yanayofanywa na serikali lakini ajabu sasa kuna watu wanaibeza na kuendekeza uchawa, kuona haina maana yoyote, bora sijui umpe mtoto mtaji, bora awe chawa na brah brah za namna hiyo.
 
Back
Top Bottom