Katika nchi zote za Afrika Mashariki, William Rutto anamaliza mwaka 2024 akiwa Rais dhaifu kisiasa kuliko wote.

Katika nchi zote za Afrika Mashariki, William Rutto anamaliza mwaka 2024 akiwa Rais dhaifu kisiasa kuliko wote.

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ndio, ni dhaifu kuliko Salva Kiir.

Sasa anaomba Mungu Raila Odinga asijitikise kisiasa, akifanya hivyo jumba la ikulu ya Nairobi litapata nyufa na kubomoka.

Ni kama ng'ombe aliyekatika mkia kwa kuwa hana Rigathi Gachagua, anaonekana muda mwingi ana wasiwasi, mawazo, amekosa uimara kama Rais.

Rutto akitoboa 2027, nimekaa paleeee, Raila atamkimbia come 2026, na wanaweza angusha serikali yake Bungeni watu wakarudi kwa debe.

Raila na genge lake wanachofanya ni sawa na hadithi ya mdudu ndani ya kokwa la embe, wanamchimba wakiwa ndani, wakitoka wanayo meengi ya kumsema
 
Ila wewe jamaa sijui mdada una dua mbaya mbaya tu kwa viongozi
hapa Duniani.
 
Ndio, ni dhaifu kuliko Salva Kiir.

Sasa anaomba Mungu Raila Odinga asijitikise kisiasa, akifanya hivyo jumba la ikulu ya Nairobi litapata nyufa na kubomoka.

Ni kama ng'ombe aliyekatika mkia kwa kuwa hana Rigathi Gachagua, anaonekana muda mwingi ana wasiwasi, mawazo, amekosa uimara kama Rais.

Rutto akitoboa 2027, nimekaa paleeee, Raila atamkimbia come 2026, na wanaweza angusha serikali yake Bungeni watu wakarudi kwa debe.

Raila na genge lake wanachofanya ni sawa na hadithi ya mdudu ndani ya kokwa la embe, wanamchimba wakiwa ndani, wakitoka wanayo meengi ya kumsema
Kapigiwa kura na wakenya kuwa the most corrupt president.
Waendesha hizo kura wanasema hawajawahi kupata kura nyingi kama hizo.
 
Ni Rais pekee barani Africa akiungana na yule wa Ghana kwa kuwa na ustawi wa Demokrasia ya mfano Africa.
 
Kwa ground vitu ni tofauti .

Kamwe odinga hawezi shinda uchaguzi arudi Bondo tu akapumzike


Akisimama na mutu ya murima uchaguzi ujao hata huyo kindiki ataokota tu kura za Wakikuyu ambayo ni wengi

Kenya Kuna " mtu wetu " syndrome so kura za wakale anazo


All in all uda itashinda tena pamoja na kuwa na pr mbaya [emoji28]
 
Ndio, ni dhaifu kuliko Salva Kiir.

Sasa anaomba Mungu Raila Odinga asijitikise kisiasa, akifanya hivyo jumba la ikulu ya Nairobi litapata nyufa na kubomoka.

Ni kama ng'ombe aliyekatika mkia kwa kuwa hana Rigathi Gachagua, anaonekana muda mwingi ana wasiwasi, mawazo, amekosa uimara kama Rais.

Rutto akitoboa 2027, nimekaa paleeee, Raila atamkimbia come 2026, na wanaweza angusha serikali yake Bungeni watu wakarudi kwa debe.

Raila na genge lake wanachofanya ni sawa na hadithi ya mdudu ndani ya kokwa la embe, wanamchimba wakiwa ndani, wakitoka wanayo meengi ya kumsema
HIi shida yakuyaona ya jirani kwa lengo la kujifariji ni sumu inayofisha.
 
Back
Top Bottom