Kama ni kweli mbona hujaonyesha kama 'Iesous' jina la Kigiriki au la Kiebrania Yeshua linaleta namba 666 na umetumia la Kilatini?Katika numerology namba zote ni sawa na hazibagui Lugha, nimetumia jina la JESUS kwani ndilo ambalo lina tatizo na sio hayo majina mengine
Hujaelewa Hizo hesabuKama ni kweli mbona hujaonyesha kama 'Iesous' jina la Kigiriki au la Kiebrania Yeshua linaleta namba 666 na umetumia la Kilatini?
Nyie ndo wale mlikuwa mnaogopa hesabu za logarithms na trigonometry 😂😂Habari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Kwenye hesabu ukizidisha lazima kuwe na sababu haya tuambie kwa nn uzidishe kwa 9?Umesahau kuzidisha kwa namba 9
Kama jina lilelile linaleta majibu yasiyo sawa, then utawezaje kuhitimisha kwa kuchagua jibu moja? Mfano, jina langu kwa lugha yangu likiwa na mara X kwa nini uchukue maana ya jina langu kwenye lugha yako lenye maana kwa mfano Y? Unaona kuna mantiki hapo?Hujaelewa Hizo hesabu
Kila jina lina herufi zake, kwahiyo majibu hayawezi kuwa sawa, ukifanya kwa majina ya 'lesous' au Yeshua utapata jibu tofauti na 666.
Sahihi . Hili nina uzoefu nalo wakati ambao niliwahi kuishi mtaa ambao ulikuwa na wachawi wanaowanga usiku na wanawake wanaojiuza wengi .Hata usingizini ukikabwa kumbuka kuita tu Yesssuuuu!! Utaona na kupata msaada wa haraka.
Onesha njia uliyotumia kupata hilo jibuPengine umekosea ndugu,
Hili jina mimi nimepata 11 ( Master number )
Nenda kajifunze maana ya Numerology Kwanza ndyo uje tubishaneNa inakuwaje 18 inageuka kuwa 1+8?
Mkuu, unapaswa kujua kwamba kila jina lina majibu yake.Kama jina lilelile linaleta majibu yasiyo sawa, then utawezaje kuhitimisha kwa kuchagua jibu moja? Mfano, jina langu kwa lugha yangu likiwa na mara X kwa nini uchukue maana ya jina langu kwenye lugha yako lenye maana kwa mfano Y? Unaona kuna mantiki hapo?
J E S U SOnesha njia uliyotumia kupata hilo jibu
Umeandika UjingaHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Na hiyo modification ndyo Ina utata, ni vyema waumini kutumia jina la asiliNaamini Yesu aka Issa, alayhi salaam, hata jina "Jesus" halifahamu. Hilo ni jina la "modification".
Hizo herufi hazina thamani ya hizo namba, pangilia upya mtiririko wa nambaJ E S U S
1 5 1 3 1
1+5+1+3+1=11
Na wewe andika ujanja kama unawezaUmeandika Ujinga
Utata nkuvwa saba, hiyo inaonedha bi bsmna wazungu wanalazimisha tuyafate yao tukitaka tusitake. Walikuwa na haja au sababu gani ya jubadilisha jina?Na hiyo modification ndyo Ina utata, ni vyema waumini kutumia jina la asili
Sio jina tu, wamebadilisha mengi hata baadhi ya maandiko, lengo lao ni kupunguza usahihi na kupotosha waumini ili wasiweze kufikia au kufanya ibada kwa usahihiUtata nkuvwa saba, hiyo inaonedha bi bsmna wazungu wanalazimisha tuyafate yao tukitaka tusitake. Walikuwa na haja au sababu gani ya jubadilisha jina?
Namba za kufungulia code za Numerology Ni 3,6 na 9Thamani ya jina "Jesus" kwa kutumia mbinu ya Pythagorean, ambayo inagawanya herufi katika namba kama ifuatavyo Inaweza kufanyika kama ifuatavyo:
Sasa, tuhesabu thamani ya "Jesus":
- A=1, B=2, C=3, D=4, E=5, F=6, G=7, H=8, I=9
- J=1, K=2, L=3, M=4, N=5, O=6, P=7, Q=8, R=9
- S=1, T=2, U=3, V=4, W=5, X=6, Y=7, Z=8
Ukijumlisha hizi pamoja: 1 + 5 + 1 + 3 + 1 = 11
- J = 1
- E = 5
- S = 1
- U = 3
- S = 1
Katika numerology, namba mara nyingi hupunguzwa kuwa namba moja kwa kujumuisha tarakimu pamoja. Kwa 11, unapata:
1 + 1 = 2
Kwa hivyo, thamani ya numerology ya "Jesus" ni 2.
Mkuu unapozidisha 9 sijaelewa inafanya hivyo Ili iweje? Mbona kamuni Wakaldauo na Pythagorean hazipo hivyo?